Albert Msando apotoka tena

We Albert wewe ni ngazi ya uongozi na unapingana na maamuzi ya Kamati Kuu, huwezi cheza mpira mwenyewe na refa ukawa mwenyewe kwa hiyo JIUZULU UDIWANI halafu ndo ukomalie kumtetea ZZK, zaidi ya hapo unajaza maji kwenye gunia TUNAMFUKUZA.

Mungu alivyo mwema wasaliti na waasi wote wamejitokeza Peupe kabisa!
 
hivi mwanasheria na diwani inaishi nyumba za wanaume wezako kama demu inajisikiaje mwanaume kukuoa nyumba ukae bure na kukununulia magari ya kifahari au ni vipi Msando hatukuelewi yaani nyaga anakihudumia kuliko anavyoihudumia familia yake..

Mkuu una maanishaa huyu msando alikua ni mke wa Nyaga mawala?noma sana
 
Kile kikundi cha Wasaliti na Waasi kilichosambaratishwa na Kamati Kuu kilimuandaa Alberto Msando kuwa Mwanasheria Mkuu wa chama endapo wangefanikiwa kumpindua Mbowe.
 
Na huyo anayejiita msando kaenda kuzungumz na vyombo vya habari kwa lipi cha maana hapa. Unajua kuna watu huwa wakishindwa kufanya mazuri wakaonekana huwa wanafanya makosa au kinyume na utaratibu makusudi ili tu watu wamwone na yeye yumo. Namshauri akasimamie maendeleo kwenye kata yako sio kusimamia kesi isiyo na tija kwake mwenyewe, kwa anayemtetea, kwa chama na kwa taifa kwa ujumla
 
Msando is simply a bush lawyer. ZITTO naye of all the lawyers umemwamini huyu mzee wa affidavit na kesi za talaka?
 
Zitto anadhani bado anafanya siasa za daruso miaka ile yuko chuo.....
 
Msando is simply a bush lawyer. ZITTO naye of all the lawyers umemwamini huyu mzee wa affidavit na kesi za talaka?

Zitto naye ni hewa tu hana kitu..nimemdharau sanaa
 

Well said Mkuu!

Pamoja na BLUNDER hiyo Msando, Akumbuke yeye ni kiongozi wa Chama (DIWANI), Je? anaijua dhana ya
"COLLECTIVE RESPONSIBILTY?"

Kama anapenda kuwa Muasi, Angejiuzulu kwanza!
 
Mungu alivyo mwema wasaliti na waasi wote wamejitokeza Peupe kabisa!

Mlivyo vilaza mnadhani kila anayepingana au kuwakosoa ni msaliti. Hizi ndio tabia za kiCCM na mnafanya usaliti bila nyie kujua. Badala ya kujibu mnakimbilia kumuita mtu msaliti. fxxxx.
 

CDM bwana eti na wewe ni kichwa katika chama mwisho wenu utashangaza sana..

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:

Hili Gazeti si liliomba msamaha kesho yake au mwenzetu hukusoma hiyo pia?
 
Msando amedhalilisha kitivo cha sheria chuo kikuu cha Dar es Salaam
 

Of course hawa walioshikishwa akili hawataki kujadili hoja. Kwa uchambuzi huu tayari na wewe wameshakuingiza kwenye kundi la wasaliti. Yote hii ni kwa sababu walikuwa hawana hoja za msingi za kumfukuza Zitto zaidi ya chuki na wivu wa kisiasa ambao umewajaa akina Tundu Lissu na wenzake. Wanaona bora wamshambulie Zitto kulikoni kuwadhibiti CCM na NEC wanaojiandaa kuchakachua kura. Hawa hawana mpango wowote wa kukamata dola zaidi ya kutumiwa na wagombea urais wa CCM katika kufanikisha malengo yao. Hakuna hata kiongozi mmoja wa CHADEMA hawa waliomshikia bango Zitto ambaye sio wakala wa mgombea urais mojawapo wa CCM. Zitto anapigana vita kubwa mno ambayo wengi wetu hatuioni lakini tutaijua tunapoelekea 2015, lakini it will be too late.
 
Kile kikundi cha Wasaliti na Waasi kilichosambaratishwa na Kamati Kuu kilimuandaa Alberto Msando kuwa Mwanasheria Mkuu wa chama endapo wangefanikiwa kumpindua Mbowe.
Kweli wewe kilaza,nimesoma ule waraka hakuna mahali wamesema watampindua mbowe,ila waliandaa mtu ili agombee pindi uchaguzi utakapoitishwa.
 

Kama kusema ukweli ni kudhalilisha acha chama kidhalilike. Mmezoea mambo ya kiCCM kufanya mambo kwenye giza. Hizo nyakati zimepita. Na bado mambo yatamwagwa hapa ili watu wajue nani ni msaliti.
 
Well said Mkuu!

Pamoja na BLUNDER hiyo Msando, Akumbuke yeye ni kiongozi wa Chama (DIWANI), Je? anaijua dhana ya
"COLLECTIVE RESPONSIBILTY?"

Kama anapenda kuwa Muasi, Angejiuzulu kwanza!

Mkuu wangu huyo naye ni Masalia na Muasi.Alitarajia kuwa mwanasheria mkuu endapo mapinduzi yangefanikiwa.
 
Kama kusema ukweli ni kudhalilisha acha chama kidhalilike. Mmezoea mambo ya kiCCM kufanya mambo kwenye giza. Hizo nyakati zimepita. Na bado mambo yatamwagwa hapa ili watu wajue nani ni msaliti.

Kwi kwi Kwi....Mfamaji wa Lumumba.

Vijana wa UVCCM jana walikuwa Imara kulinda mkutano Serena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…