Ngwair kachelewa kututoka Mungu kajitahidi sana kumvuta hadi jana! jamaa poda zilizidi!hawa watoto wapunguze ulevi!nakumbuka nilivyotaka kumtandika ngumi Mr Blue mie nimeshakula viingilio vya watu ye ka-chill nyuma ya ukumbi anakula mzigo huku yuko tungi muda unaenda tu,nawashukuru maputo yangu ningeliwa mgongo siku ile pum..vu zao madogo hawa bora nimeokoka siku hizi!