Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,860
- Thread starter
- #21
Haya mambo yapo jamani halafu yanauma sana, kama haijawahi kukutokea tema mate chini isikutokee. Yani unajikuta umekata tamaa ya kuwa na love of your life coz mmepotezana, so unaenda kwa alternative number mbili, baadae ndio anaibuka kutoka huko alipotokea, kaoa na wewe umeoa. Binafsi ilishanitokea na inanifanya niishi maisha ya mawazo wakati mwingine, na yy pia lakini tunajaribu kukaa mbali na kukubali hali halisi.
Bora na wewe umelitambua hilo? ILA SIJUI MBELE KUNA NINI KWA MAANA MME WA DADA NAE NAMUONEA HURUMA MIKIKI MIKIKI ANAYOPATA.kwa sababu linatulia harafu linaibuka tena hadi kufikia point washauri wanajitoa.