GokuOne
Senior Member
- Jan 19, 2022
- 196
- 263
Kwenye youtube videos za watu unatumika sana kwny intro na background za videoEl
Elezea kidogo tuelewe bac dingii,,Intro kivipi yaani
Kwenye youtube videos za watu unatumika sana kwny intro na background za videoEl
Elezea kidogo tuelewe bac dingii,,Intro kivipi yaani
tupo huku mashabikiOngezea na Different world mkuu.
Binafsi napenda nyimbo za AW though ni shabiki wa wengine kama:-
Kygo
Gryffin
Don diablo
Armin van buuren
Nick Romero
Jax jones
Oliver heldens
The chainsmokers
Cheat codes
Robin schulz
KSHMR
Jax jones
Martin solveig
Pettit biscuit etc..
EDM bongo bado watu wengi hawaijui wala kuilewa.
EDM is life mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Avicij anaingia Humu mkuu?Habari zenu wadau wa jukwaa hili. I hope mko njema kabisa hapo.
Mimi ni mmoja kati ya raia ambao nafuatilia sana aina mbalimbali za muziki duniani. Nafuatilia Bongo Fleva, Hiphop, Afro Beat, Trap, Emo Trap ile ya kina marehemu XXX Tentacion, Juice Wrld n.k. Reggae, Dancehall, Kwaito na vitu ka' izo.
Sasa bhana kuna muziki unaitwa Electro Dance Music/House (EDM). Huu ni muziki ambao mdundo/beat ndo inaongea zaidi kwenye nyimbo kuliko mashairi.
Aina hii ya muziki hufanya zaidi kina David Guetta, DJ Snake, Major lazer, DJ Black Coffee, Dimitri Vegas na wengne shazi.
Lakini chalii m'noma kabisa kwenye izi mbanga ni Alan Walker au DJ Walkzz. Huyu ni Muingereza aliezaliwa Norway mwaka 1997 (23 yrs). Ni DJ, Producer, Mwandishi wa nyimbo. Alianza kujiingiza katika industry ya music 2012 akiwa na miaka 15. Chalii nam'nyali kinyama kunako EDM music.
Alan Walker ndiyo huhusika kutengeneza beat, kuandika nyimbo pamoja na kutafuta muimbaji atakayefaa katika madude yake, but umiliki wa nyimbo unakua ni wake kulingana na mkataba na makubaliano kama afanyavyo DJ Khaled.
Ukiskiliza ngoma zote za mhuni ni kali, yaani akuna ngoma ya kiree 'ata moko. Ngoma kama Faded ambayo hadi saivi ina views zaidi ya bilioni mbili YouTube, pia ilienda Multi-platinum kwa mauzo kwenye zaidi ya nchi 20 duniani.
Ngoma zingine kali ni On My Way, Dark Side, Alone, Sing Me To sleep, Nothing At All, Diamond Heart na ninayoikubali zaidi inaitwa Unity.
Mwaka 2018 alikua nafasi ya 36 kati ya MaDj's/ Producers 100 bora kabisa kwa mujibu wa "DJ Mag's", ambapo pia mwaka huohuo (2018) aliachia album yake kubwa kichizi inayoitwa Different World.
Lakini pia hafanyi kazi peke yake; hushirikiana hasa katika uañdishi na dingilii m'bad kabisa anaitwa Gunna Greve ambae ni producer, muimbaji na mwandishi pia wa ngoma.
Huyu ndo father wa music industry ya Norway pia Sweden. Ndiye founder na manager wa kampuni ya muziki ya MER ambayo ndo ilimtoa pia chaliangu Alan Walker.
I feel like am done, but kama una chochote cha kuongeza kumhusu, karibu.
Halafu sijui kwanini often huwa anapenda kujifunika sura na mask ispokuwa macho?
@NgarenaroBoy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure, Kuna ile my father told meBila shaka,,,Avicci ni msanii wa aina hii ya muziki,,Namkubali pia,,ngoma kama Waiting for love,Hello Brother na Levels nazikubali mno...R.I.P to him,,,Drugs sio nzuri kabisa
Mkuu mkuu nakupa heshima kubwa baada ya kuona unapenda vitu vyangu hasa.. vitu vya kumoyo. Acha kabisa.. hakuna mziki umewahi nipa raha kama EDM. Kwanza acha tu ntalia mimi.... Hapa nina zaidi ya 50 hours ya MIxing ya Allan Walker,Calvin Harris, mixing za pale Tomorrow land, black coffee ndo usisemeHabari zenu wadau wa jukwaa hili. I hope mko njema kabisa hapo.
Mimi ni mmoja kati ya raia ambao nafuatilia sana aina mbalimbali za muziki duniani. Nafuatilia Bongo Fleva, Hiphop, Afro Beat, Trap, Emo Trap ile ya kina marehemu XXX Tentacion, Juice Wrld n.k. Reggae, Dancehall, Kwaito na vitu ka' izo.
Sasa bhana kuna muziki unaitwa Electro Dance Music/House (EDM). Huu ni muziki ambao mdundo/beat ndo inaongea zaidi kwenye nyimbo kuliko mashairi.
Aina hii ya muziki hufanya zaidi kina David Guetta, DJ Snake, Major lazer, DJ Black Coffee, Dimitri Vegas na wengne shazi.
Lakini chalii m'noma kabisa kwenye izi mbanga ni Alan Walker au DJ Walkzz. Huyu ni Muingereza aliezaliwa Norway mwaka 1997 (23 yrs). Ni DJ, Producer, Mwandishi wa nyimbo. Alianza kujiingiza katika industry ya music 2012 akiwa na miaka 15. Chalii nam'nyali kinyama kunako EDM music.
Alan Walker ndiyo huhusika kutengeneza beat, kuandika nyimbo pamoja na kutafuta muimbaji atakayefaa katika madude yake, but umiliki wa nyimbo unakua ni wake kulingana na mkataba na makubaliano kama afanyavyo DJ Khaled.
Ukiskiliza ngoma zote za mhuni ni kali, yaani akuna ngoma ya kiree 'ata moko. Ngoma kama Faded ambayo hadi saivi ina views zaidi ya bilioni mbili YouTube, pia ilienda Multi-platinum kwa mauzo kwenye zaidi ya nchi 20 duniani.
Ngoma zingine kali ni On My Way, Dark Side, Alone, Sing Me To sleep, Nothing At All, Diamond Heart na ninayoikubali zaidi inaitwa Unity.
Mwaka 2018 alikua nafasi ya 36 kati ya MaDj's/ Producers 100 bora kabisa kwa mujibu wa "DJ Mag's", ambapo pia mwaka huohuo (2018) aliachia album yake kubwa kichizi inayoitwa Different World.
Lakini pia hafanyi kazi peke yake; hushirikiana hasa katika uañdishi na dingilii m'bad kabisa anaitwa Gunna Greve ambae ni producer, muimbaji na mwandishi pia wa ngoma.
Huyu ndo father wa music industry ya Norway pia Sweden. Ndiye founder na manager wa kampuni ya muziki ya MER ambayo ndo ilimtoa pia chaliangu Alan Walker.
I feel like am done, but kama una chochote cha kuongeza kumhusu, karibu.
Halafu sijui kwanini often huwa anapenda kujifunika sura na mask ispokuwa macho?
@NgarenaroBoy.
Sent using Jamii Forums mobile app
Playlist Kali mnooAlan walker is the best. Marshmello najitahidi sana kumsikiliza coz nae ni mwana EDM lkn hajawahi nikosha.
Nikiwa nafanya coding midnight huku nasikiliza ngoma za Alan huwa nahisi niko dunia fln hv ambayo haielezeki kiukweli.
My playlist:
Faded
Lost control
Alone
Diamond heart
Alone II
Lily
Sing me to sleep
All falls down
Legends never die remix
etc...
Aaah kula tano bro..tuko pa1👊Mkuu mkuu nakupa heshima kubwa baada ya kuona unapenda vitu vyangu hasa.. vitu vya kumoyo. Acha kabisa.. hakuna mziki umewahi nipa raha kama EDM. Kwanza acha tu ntalia mimi.... Hapa nina zaidi ya 50 hours ya MIxing ya Allan Walker,Calvin Harris, mixing za pale Tomorrow land, black coffee ndo usiseme
Zote Kali bro
Mpaka leo dogo sura yake haijawahi kuonekana pamoja na ufame wote huo.
Wako vizuri sana.Kuna jamaa anaitwa Vicetone ni noooooomaaaa