Kine Master
Senior Member
- Aug 4, 2022
- 153
- 71
Amekosea ange-andika inatumika kama background music kwa youtubers..wengiEl
Elezea kidogo tuelewe bac dingii,,Intro kivipi yaani?
Amekosea ange-andika inatumika kama background music kwa youtubers..wengiEl
Elezea kidogo tuelewe bac dingii,,Intro kivipi yaani?
Jaribu kuziforward mkuu tuzichote.namkubali sanaaa hasa kwenye fadedNina playlist ndefu sana ya huyu mtu na nyimbo zote mlizozitaja humu ninazo kimsingi hata mimi namkubali sana huyu mwamba,kanifanya nimjue mwanadada anaitwa sofia Somajo na kuanza kumfuatilia,huyu dada nae ni nuksi sana
uko kama mimi..Jaribu kuziforward mkuu tuzichote.namkubali sanaaa hasa kwenye faded