Alama za misalaba ni upagani

Alama za misalaba ni upagani

Msalaba una maana kubwa Kwa wote wenye Imani katika kristo Yesu.

Ni Ishara kuwa Mungu alikuja katika mwili akafa akazikwa na kufufuka siku ya tatu.

Ikumbukwe pia kuwa Ibada Kwa wakristo ni katika Roho na Kweli.

Msalaba ni katika Imani, Si katika kuuvaa shingoni au kininginiza ndani ya gari. Kufanya hivyo ni kufanya Ibada ya sanamu Kwa kujua au kutojua.

Shetani ni Mwizi na baba wa copy na paste, alama ya Bikari watumiayo Freemason amecopy na kupaste alama ya Mungu iliyoko Mbinguni.

Alichokifanya ni kuigeuza juu chini na kuifanya ni alama yake Ili aabudiwe.

Waaminio haturuhusiwi kuvaa michoro na alama zozote katika miili yetu, ndomana hata nguo tunatakiwa kuvaa RANGI Moja, mambo mengi Bado hatujafikia utimilifu, lakini tunakoelekea tutarudi kama Kanisa la kwanza.

Mungu awabariki nyote.

Amen


Je msalaba siyo alama ya upagani?


Siri zilizomo Kanisani ambazo zinamzuwiya Kiongozi kuwafundisha watu ukweli na nidhamu ya woga iliyojengwa ndani ya Wafuasi inamfanya mtu akubali jambo bila kulielewa kabisa akiuliza husomewa vipande vya aya za biblia na kupewa tafsiri potofu, lazima akubaliane na Kiongozi wake. Ukimwambia ukweli yuko tayari kupigana na kuuwa mtu, hata hivyo lazima ukweli tuuseme tu kwa kumuogopa Mungu.
Mataya 10:26-27

Waraka huu nitaongelea alama mojawapo kuu na kongwe ya mojawapo ya dini yenye wafuasi wengi. Nitajitahidi kuonyesha chanzo hata uwongo unaozunguka uwepo, ujio, matumizi na maana nzima ya alama hii ya MSALABA.

Kama zilivyo alama mbali mbali, msalaba ni alama kuu (religious symbol) na muhimu ya dini ya kikristo. Wakristo wengi ukiondoa wale wa Mashahidi Jehova Msalaba kwao ni alama muhimu sana katika imani zao. Kwani inaaminiwa kuwa Bwana Yesu aliwahi kutundikwa na kufa msalabani. Alama hii ni sawa na bendera ya nchi kwa ukristo. Hivyo ni alama muhimu na yenye thamani kubwa.

Matumizi ya misalaba na aina nyingine za masanamu zilipigwa marufuku na kuonekana kuwa ni upagani, lakini mnamo mwaka ca. 675-ca.749 mtakatifu Yohana Damascene akakubali kwamba yafaa matumizi ya masanamu na aina nyingine za alama zinazo wakilisha ukristo,kwa maana ya kusulubiwa kwa Yesu pamoja na watakatifu wengine kutumika kwa kufundishia. Kikao cha mara ya pili cha Nicea 787 kikarejesha rasmi matumizi ya alama na taswira. Mnamo mwaka 814 - 43 matumizi ya masanamu na alama zingine ziliondolewa makanisani kwa kuona kuwa watu walishaanza kuziabudu. Adhabu kali ziliwafika zikiwemo kuuawa kwa wale wote walikuwa wakitumia masanamu na alama zingine zilizokuwepo wakati ule. Matumizi haya ya misalaba na masanamu yalikuja kurejeshwa tena kati mwaka 759-826 na mtakatifu Theodore.

Masanamu yanayohusishwa zaidi katika ibada hizo ni pamoja na sanamu la mungu-mtu Yesu wa Kikristo akiwa amebebwa na mama yake (Madona) ambaye amepewa cheo cha umama wa mungu. Yaani Theotokos (“Mother of God ca.185-ca.254”), na kwenye sanamu lingine akiwa amekufa msalabani, sanamu la "Bikira Maria", sanamu la malaika na masanamu mengine mengi ya watakatifu wa Kikristo waliokufa!

Kama maandiko ya Biblia tukufu yafundishavyo, ibada hii (ya sanamu) ifanywayo na Wakristo, kiasili imetokana na watu wa mataifa (wapagani). Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maandiko yafuatayo:
"Bali walijichanganya na mataifa, wakajifunza matendo yao.Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao".
(Zab 106:35-36).

Kwa uchache, maandiko hayo juu yanathibitisha wazi kuwa waasisi na wahusika wakuu wa ibada hiyo (ya sanamu) ni watu wa mataifa, yaani wapagani.

Sambamba na ukweli huo, Biblia haikuacha pia kubainisha jinsi Yehovah alivyowakemea wanadamu tangu mapema kujaribu kuchonga (kufanya) na kuabudu sanamu, kama ifuatavyo:
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao".
(Kumb 5:8-9).

Mwandishi ya kikatholiki Adolphe-Napoleon Didron ambaye pia ni mtaalamu wa mambo ya kale (archaeologist) anasema: “The cross has received a worship similar, if not equal, to that of Christ; this sacred wood is adored almost equally with God Himself.” Some say that the cross makes them feel closer to God when they pray. Others use it as an amulet, thinking that it protects them from evil. But should Christians use the cross as an object of veneration?

Je Alama hii inastahiki kupata heshima na umuhimu huu? Hilo ndilo swali kuu la kushughulika nalo
.

Ushahidi wa kwanza kuwa msalaba una chimbuko na maana kwenye dini za awali za kipagani unapatika kwenye katiba yenyewe ya ukristo yaani biblia wanayoiita wao takatifu. Soma waebrania 12:2 kwa ufafanuzi zaidi.
Pia kuonyesha ujio na uwepo wa msalaba na mkanganyiko wa jamii ya waumini inayoifuata biblia, waweza kusoma 1wakorintho1:17-18 ambapo mitume wanatukuza tendo lililofanyika kwenye msalaba na siyo msalaba kama ilivyo sasa.

Kabla ya kwenda mbali lazima tukiri kuwa uchambuzi wetu utaonyesha jinsi msalaba ulivyokuwepo kama alama ya dini za kipagani hata kabla ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu mwenyewe. Tutajaribu kufanya hivyo ili kuonyesha upagani ulivyopaganisha ukristo huku na ukristo ukikiristisha upagani na kufanya ndoa ya mashaka inayoendelea hadi leo.

Katika kamusi ya Expository of new tastment words, yaani kamusi fafanuzi ya maneno ya agano jipya, inasema kuwa msalaba kama alama ya kipagani ilianzia kule Ukaldayo (ambapo pia ndiko chimbuko la Ibrahimu). Kamusi hii inasema kuwa wapagani wa eneo hili waliitumia alama ya msalaba kama heshima yao kwa muungu wao wa kipagani aliyeitwa Tammuz ambaye kimsingi ni Nimrodi muwindaji na mwanzilishi wa himaya ya Babeli (Babylonian) iliyolaaniwa kuliko hata firauni.

Tammuz kwa ufupi aliitwa «Tau» akitumia alama ya T kama alama yake kuu au sahihi tuseme. Alama hii ya T kama ishara ya Tammuz pia ilitumika si ukaldayo tu bali hata Misri na asia wakati ule ikizingatiwa kuwa Tammuz aliweza kuabudia karibia maeneo hayo yote wakati wa himaya yake. Ezekiel 8:12-16,

Msalaba pia unaweza kupatikana katika jamii za Kimisri za kipagani za hapo mwanzo. Ushahidi huu unapatikana kule kwenye jengo la Amenopolis IV kule Tabes nchini Misri. Msalaba huu unajulikana maarufu kama « Msalaba wa Misri au Msalaba wa tau. Hii ni kutokana na baadhi ya kazi za wanahistoria maarufu wa zama zile. Msalaba huu ulikuwa na mduara upande wa kichwani ukiashiria alama ya Tammuz akiwa kama muungu jua hapo baadaye.
Pia katika maeneo ya Ufoenike, China na Mexico inapatikana dhana nzima ya matumizi ya kidini ya msalaba kama alama yao kuu. Ikumbukwe kuwa yote hii ni kabla ya kuzaliwa kwa Yesu hivyo kabla ya ukristo.

Jamiii nyingine unapopatikana msalaba kama alama shufaa ni maeneo kuanzia nchi ya Niger ya sasa hadi mto Nile. Kwani ngao za mashujaa wa eneo hili zilichorwa alama hii kama ishara ya utaua na ukuu. Vile vile kwenye dini ya Uhindu unajulikana kama The swastika, wagiriki wao wana msalaba unao itwa crux gammata, composed of four Greek uppercase gammas (Γ),

Ushahidi madhubuti waweza kupatikana pia nchini Mexico ambako msalaba maarufu wa Palengue unapatikana. Kwa anayetaka ushahidi zaidi juu ya hili aweza kusoma kwenye
“The catholic encyclopidia“ ambayo licha ya kuuita msalaba wa Palengue inauita msalaba wa kabla ya ukrist wa Palengue.

Msalaba huu nchini uliitwa pia Tota ama baba kama ambavyo baadaye uliitwa kwenye biblia. Soma Yeremia 2:27 hii imebainika kuwa upotofu mkubwa kuanzia lugha hata matumizi ya neno baba kumaanisha msalaba.

Nchini Misri inapatikana pia michoro au picha ya Muungu Amon akiwa ameshikilia msalaba wa Tau.
Pia kwenye hekalu la serapis kule Alexandria lilibeba alama ya msalaba.

Hata kwenye vita baina aya Alexander Mkuu (Alexander the great), na waajemi, waajemi walibeba msalaba kama alama yao ya ushindi. Pia hapa ikumbukwe kuwa utumizi wa alama ya msalaba kwenye vita ilianzishwa na akina Nebkadneza na wenzake kama alama ya ushindi.

Kwa ufupi angalau msomaji anaweza kuona utamaduni huu wa kuutukuza na kuutumia msalaba ulikotoka kuwa ni kwenye dini za kipagani za kale. Hiki ndicho tulichomaanisha tuliposema kuwa upagani umepaganisha ukristo na ukristo umekristisha upagani na kufanya ndoa kuu ya uwongo na mashaka.

Hebu tuhame twende nchini Italia ambako ndiko chimbuko hasa la ukristo chini ya himaya ya kiroma. Mwaka 46 kabla ya kuzaliwa Yesu, kunapatikana sarafu za muungu jupiter zikiwa na alama ya msalaba ambao kwa wapagani wa kiitaliano ulitumika kama hirizi au sihiri kama unavyotumiwa na baadhi ya madhehebu ya kikristo kwa sasa.

Hata ukiangalia sarafu aliyoletewa Yesu alipe kodi ilikuwa na Maandishi Partem max yaani baba mkuu ambaye alikuwa ni kaizari, ilikuwa na alama ya msalaba. Hilo leo siyo mjadala wetu hivyo tutalitumia kwenye ushahidi huu tu.

Hata kule Ugiriki ulichorwa msalaba kwenye vibanio na nembo ukiwa ni alama ya mfalme wao aliyefanana sana na Tammuz.

Tusiwachoshe na rejea na ubukuzi na uchokonozi. Hebu tujiulize swali rahisi. Je msalaba hadi hapa ni alama ya Kimungu au kimiungu? je inaingia akilini hadi leo mtu kuendelea kuutukuza na kuuvaa shingoni ikiwa ni kama kinga au hirizi kwake? je kama mtu atategemea kulindwa na msalaba huyo Mungu atafanya kazi gani!?

Je inaingia akilini kuendelea kuutumia msalaba kwenye mahekalu ya Mungu, nyumba zetu, makaburi yetu, kuuchora kwenye vipaji vya uso kila mtu aingiapo kanisani na mengine kama hayo? Je ni nani mwehu huyo awezaye kuivaa shingoni bastola au kisu kilichotumika kumuua mpendwa wake kama kinga au japo kumbu kumbu tu? kama hata akili nyepesi ingetumika basi bastola ingeogopewa kiasi cha kutisha kwani ndiyo iliyouchukua uhai wa mpendwa wako. Je ni nini mantiki ya wakristo kuvalishwa kongwa bila wenyewe kujua asli?

Je inaingia akilini kwa mtu ambaye amejua maana na chimbuko la msalaba kuendelea kuivaa hiyo kongwa na alama ya laana? kazi kwenu. Je anayefanya hivyo anaendelea kuwa mkristo wa kweli au mpagani wa kawaida tu hata akijiita mkristo?

Hatulengi kudhalilisha imani za wenzetu wala kuwaonyesha kama majuha lakini ni ujuha kutumia alama ya kipagani ambao kimsingi ndiye adui mkubwa wa dini. Tunaandika haya kwa kuzingatia ushauri wa bure lakini wa maana. Yesu Alisema kuwa mkiitafuta kweli itawaweka huru kweli kweli. Kama hivyo ndivyo kwanini nasi tusiwaweke huru kweli kweli ?

Kwa taarifa yako msomaji msalaba umekuwa nongwa hasa kwa wakatoliki. Kwani huchora alama ya msalaba kila waingiapo kanisani, kunywa au kula, wakati wa kulala wakati wa kuamka n.k Pia msalaba huchorwa kwenye mwili wa mtu tangu siku ya kuzaliwa (kubatizwa) hadi kuzikwa huku kaburi lake likiubeba milele !

Kwa waroma msalaba uko kila mahali. Kwenye meza, makanisa, hata tumbo la kanisa limejengwa kwa ishara ya msalaba, hata kwenye vikombe wanavyotumia kanisani hufunikwa kwa kitambaa chenye alama ya msalaba. Kwa taarifa yako ni kwamba padre hufanya alama ya msalaba mara 16 wakati akiendesha misa huku akiongeza mara 30 za kuibariki altare!

Kama kweli msalaba ni alama ya laana na ya kipagani huku ni kufanya nini kama siyo kuwalaani waumini hata madhabahu yao. Je hapa kunaweza kuepukika kwa mabalaa na majanga yanayolikumba kanisa kama vile ulawiti na uzinzi wa mapadre wake?

Imekuwa ni jadi kwa mkristo kujilaani kwa kila afanyalo. Hali wala hanywi bila kujitia alama hii ya laana
.

Hata tukiambwa kuwa msalaba unatumiwa kama alama ya kusulubiwa kwa Yesu ambaye ni alama ya ukombozi wa kinjozi, bado haiingii akilini kwani zana na nyenzo hii ilianza kutumika kabla ya kuzaliwa na kusulubiwa kwake.

Je ni wapi ukiachi siku ya kusulubiwa ulipoona Yesu na wanafunzi wake wakiongozana na msalaba kwenye shughuli zao za kueneza injili?

Tuhitimishe. Huko Misri, Ugiriki , Syria na Karthago, Palestina na Roma msalaba pia ulitumika kuwaadhibia wahalifu waliokuwa wametenda maovu makubwa kama alama ya kulaaniwa kwao.

Kimsingi msalaba na matumizi yake vimepotoshwa sana kama ilivyo kwa dhana kuu ya ubaba. Soma Matayo 23:9-11. tukiache magube ya kanisa, hili liko wazi kuwa msalaba hauna uhusiano na ukristo wala dini aliyoileta Yesu. Huenda tukikubali kusema kuwa Ukristo siyo dini aliyoleta Yesu twaweza kuyakumbatia na kuyakubali matumizi ya msalaba kwa raha bila ubishi.

Lakini si kosa la kanisa. Kwani kama hadi leo halijamjua Yesu mwenyewe litajuaje upogo na najisi ya msalaba kwa kazi ya Mungu?

Tuhitimishe kwa kumnukuu Bwana J. D. Parsons katika kitabu chake kiitwacho The Non-Christian Cross anaelezea kuwa:

There is not a single sentence in any of the numerous writings forming the New Testament, which, in the original Greek, bears even indirect evidence to the effect that the stauros used in the case of Jesus was other than an ordinary stauros; much less to the effect that it consisted, not of one piece of timber, but of two pieces nailed together in the form of a cross.”

Nakaribisha hoja juu ya kuyavinjari haya tunayoletewa. Huu ndiyo wakati muafaka wa kuhoji na kuhoji na kuhoji hadi kweli ipatikane ili ituweke huru kweli kweli.
 

Je msalaba siyo alama ya upagani?


Siri zilizomo Kanisani ambazo zinamzuwiya Kiongozi kuwafundisha watu ukweli na nidhamu ya woga iliyojengwa ndani ya Wafuasi inamfanya mtu akubali jambo bila kulielewa kabisa akiuliza husomewa vipande vya aya za biblia na kupewa tafsiri potofu, lazima akubaliane na Kiongozi wake. Ukimwambia ukweli yuko tayari kupigana na kuuwa mtu, hata hivyo lazima ukweli tuuseme tu kwa kumuogopa Mungu.
Mataya 10:26-27

Waraka huu nitaongelea alama mojawapo kuu na kongwe ya mojawapo ya dini yenye wafuasi wengi. Nitajitahidi kuonyesha chanzo hata uwongo unaozunguka uwepo, ujio, matumizi na maana nzima ya alama hii ya MSALABA.

Kama zilivyo alama mbali mbali, msalaba ni alama kuu (religious symbol) na muhimu ya dini ya kikristo. Wakristo wengi ukiondoa wale wa Mashahidi Jehova Msalaba kwao ni alama muhimu sana katika imani zao. Kwani inaaminiwa kuwa Bwana Yesu aliwahi kutundikwa na kufa msalabani. Alama hii ni sawa na bendera ya nchi kwa ukristo. Hivyo ni alama muhimu na yenye thamani kubwa.

Matumizi ya misalaba na aina nyingine za masanamu zilipigwa marufuku na kuonekana kuwa ni upagani, lakini mnamo mwaka ca. 675-ca.749 mtakatifu Yohana Damascene akakubali kwamba yafaa matumizi ya masanamu na aina nyingine za alama zinazo wakilisha ukristo,kwa maana ya kusurubiwa kwa Yesu pamoja na watakatifu wengine kutumika kwa kufundishia. Kikao cha mara ya pili cha Nicea 787 kikarejesha rasmi matumizi ya alama na taswira. Mnamo mwaka 814 - 43 matumizi ya masanamu na alama zingine ziliondolewa makanisani kwa kuona kuwa watu walishaanza kuziabudu. Adhabu kali ziliwafika zikiwemo kuuawa kwa wale wote walikuwa wakitumia masanamu na alama zingine zilizokuwepo wakati ule. Matumizi haya ya misalaba na masanamu yalikuja kurejeshwa tena kati mwaka 759-826 na mtakatifu Theodore.

Masanamu yanayohusishwa zaidi katika ibada hizo ni pamoja na sanamu la mungu-mtu Yesu wa Kikristo akiwa amebebwa na mama yake (Madona) ambaye amepewa cheo cha umama wa mungu. Yaani Theotokos (“Mother of God ca.185-ca.254”), na kwenye sanamu lingine akiwa amekufa msalabani, sanamu la "Bikira Maria", sanamu la malaika na masanamu mengine mengi ya watakatifu wa Kikristo waliokufa!

Kama maandiko ya Biblia tukufu yafundishavyo, ibada hii (ya sanamu) ifanywayo na Wakristo, kiasili imetokana na watu wa mataifa (wapagani). Uthibitisho wa hilo tunaupata katika maandiko yafuatayo:
"Bali walijichanganya na mataifa, wakajifunza matendo yao.Wakazitumikia sanamu zao, Nazo zikawa mtego kwao".
(Zab 106:35-36).

Kwa uchache, maandiko hayo juu yanathibitisha wazi kuwa waasisi na wahusika wakuu wa ibada hiyo (ya sanamu) ni watu wa mataifa, yaani wapagani.

Sambamba na ukweli huo, Biblia haikuacha pia kubainisha jinsi Yehovah alivyowakemea wanadamu tangu mapema kujaribu kuchonga (kufanya) na kuabudu sanamu, kama ifuatavyo:
"Usijifanyie sanamu ya kuchonga, mfano wa kitu chochote kilicho juu mbinguni, au kilicho chini duniani. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, nawapatiliza wana uovu wa baba zao; hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao".
(Kumb 5:8-9).

Mwandishi ya kikatholiki Adolphe-Napoleon Didron ambaye pia ni mtaalamu wa mambo ya kale (archaeologist) anasema: “The cross has received a worship similar, if not equal, to that of Christ; this sacred wood is adored almost equally with God Himself.” Some say that the cross makes them feel closer to God when they pray. Others use it as an amulet, thinking that it protects them from evil. But should Christians use the cross as an object of veneration?

Je Alama hii inastahiki kupata heshima na umuhimu huu? Hilo ndilo swali kuu la kushughulika nalo
.

Ushahidi wa kwanza kuwa msalaba una chimbuko na maana kwenye dini za awali za kipagani unapatika kwenye katiba yenyewe ya ukristo yaani biblia wanayoiita wao takatifu. Soma waebrania 12:2 kwa ufafanuzi zaidi.
Pia kuonyesha ujio na uwepo wa msalaba na mkanganyiko wa jamii ya waumini inayoifuata biblia, waweza kusoma 1wakorintho1:17-18 ambapo mitume wanatukuza tendo lililofanyika kwenye msalaba na siyo msalaba kama ilivyo sasa.

Kabla ya kwenda mbali lazima tukiri kuwa uchambuzi wetu utaonyesha jinsi msalaba ulivyokuwepo kama alama ya dini za kipagani hata kabla ya kuzaliwa kwa Bwana Yesu mwenyewe. Tutajaribu kufanya hivyo ili kuonyesha upagani ulivyopaganisha ukristo huku na ukristo ukikiristisha upagani na kufanya ndoa ya mashaka inayoendelea hadi leo.

Katika kamusi ya Expository of new tastment words, yaani kamusi fafanuzi ya maneno ya agano jipya, inasema kuwa msalaba kama alama ya kipagani ilianzia kule Ukaldayo (ambapo pia ndiko chimbuko la Ibrahimu). Kamusi hii inasema kuwa wapagani wa eneo hili waliitumia alama ya msalaba kama heshima yao kwa muungu wao wa kipagani aliyeitwa Tammuz ambaye kimsingi ni Nimrodi muwindaji na mwanzilishi wa himaya ya Babeli (Babylonian) iliyolaaniwa kuliko hata firauni.

Tammuz kwa ufupi aliitwa «Tau» akitumia alama ya T kama alama yake kuu au sahihi tuseme. Alama hii ya T kama ishara ya Tammuz pia ilitumika si ukaldayo tu bali hata Misri na asia wakati ule ikizingatiwa kuwa Tammuz aliweza kuabudia karibia maeneo hayo yote wakati wa himaya yake. Ezekiel 8:12-16,

Msalaba pia unaweza kupatikana katika jamii za Kimisri za kipagani za hapo mwanzo. Ushahidi huu unapatikana kule kwenye jengo la Amenopolis IV kule Tabes nchini Misri. Msalaba huu unajulikana maarufu kama « Msalaba wa Misri au Msalaba wa tau. Hii ni kutokana na baadhi ya kazi za wanahistoria maarufu wa zama zile. Msalaba huu ulikuwa na mduara upande wa kichwani ukiashiria alama ya Tammuz akiwa kama muungu jua hapo baadaye.
Pia katika maeneo ya Ufoenike, China na Mexico inapatikana dhana nzima ya matumizi ya kidini ya msalaba kama alama yao kuu. Ikumbukwe kuwa yote hii ni kabla ya kuzaliwa kwa Yesu hivyo kabla ya ukristo.

Jamiii nyingine unapopatikana msalaba kama alama shufaa ni maeneo kuanzia nchi ya Niger ya sasa hadi mto Nile. Kwani ngao za mashujaa wa eneo hili zilichorwa alama hii kama ishara ya utaua na ukuu. Vile vile kwenye dini ya Uhindu unajulikana kama The swastika, wagiriki wao wana msalaba unao itwa crux gammata, composed of four Greek uppercase gammas (Γ),

Ushahidi madhubuti waweza kupatikana pia nchini Mexico ambako msalaba maarufu wa Palengue unapatikana. Kwa anayetaka ushahidi zaidi juu ya hili aweza kusoma kwenye
“The catholic encyclopidia“ ambayo licha ya kuuita msalaba wa Palengue inauita msalaba wa kabla ya ukrist wa Palengue.

Msalaba huu nchini uliitwa pia Tota ama baba kama ambavyo baadaye uliitwa kwenye biblia. Soma Yeremia 2:27 hii imebainika kuwa upotofu mkubwa kuanzia lugha hata matumizi ya neno baba kumaanisha msalaba.

Nchini Misri inapatikana pia michoro au picha ya Muungu Amon akiwa ameshikilia msalaba wa Tau.
Pia kwenye hekalu la serapis kule Alexandria lilibeba alama ya msalaba.

Hata kwenye vita baina aya Alexander Mkuu (Alexander the great), na waajemi, waajemi walibeba msalaba kama alama yao ya ushindi. Pia hapa ikumbukwe kuwa utumizi wa alama ya msalaba kwenye vita ilianzishwa na akina Nebkadneza na wenzake kama alama ya ushindi.

Kwa ufupi angalau msomaji anaweza kuona utamaduni huu wa kuutukuza na kuutumia msalaba ulikotoka kuwa ni kwenye dini za kipagani za kale. Hiki ndicho tulichomaanisha tuliposema kuwa upagani umepaganisha ukristo na ukristo umekristisha upagani na kufanya ndoa kuu ya uwongo na mashaka.

Hebu tuhame twende nchini Italia ambako ndiko chimbuko hasa la ukristo chini ya himaya ya kiroma. Mwaka 46 kabla ya kuzaliwa Yesu, kunapatikana sarafu za muungu jupiter zikiwa na alama ya msalaba ambao kwa wapagani wa kiitaliano ulitumika kama hirizi au sihiri kama unavyotumiwa na baadhi ya madhehebu ya kikristo kwa sasa.

Hata ukiangalia sarafu aliyoletewa Yesu alipe kodi ilikuwa na Maandishi Partem max yaani baba mkuu ambaye alikuwa ni kaizari, ilikuwa na alama ya msalaba. Hilo leo siyo mjadala wetu hivyo tutalitumia kwenye ushahidi huu tu.

Hata kule Ugiriki ulichorwa msalaba kwenye vibanio na nembo ukiwa ni alama ya mfalme wao aliyefanana sana na Tammuz.

Tusiwachoshe na rejea na ubukuzi na uchokonozi. Hebu tujiulize swali rahisi. Je msalaba hadi hapa ni alama ya Kimungu au kimiungu? je inaingia akilini hadi leo mtu kuendelea kuutukuza na kuuvaa shingoni ikiwa ni kama kinga au hirizi kwake? je kama mtu atategemea kulindwa na msalaba huyo Mungu atafanya kazi gani!?

Je inaingia akilini kuendelea kuutumia msalaba kwenye mahekalu ya Mungu, nyumba zetu, makaburi yetu, kuuchora kwenye vipaji vya uso kila mtu aingiapo kanisani na mengine kama hayo? Je ni nani mwehu huyo awezaye kuivaa shingoni bastola au kisu kilichotumika kumuua mpendwa wake kama kinga au japo kumbu kumbu tu? kama hata akili nyepesi ingetumika basi bastola ingeogopewa kiasi cha kutisha kwani ndiyo iliyouchukua uhai wa mpendwa wako. Je ni nini mantiki ya wakristo kuvalishwa kongwa bila wenyewe kujua asli?

Je inaingia akilini kwa mtu ambaye amejua maana na chimbuko la msalaba kuendelea kuivaa hiyo kongwa na alama ya laana? kazi kwenu. Je anayefanya hivyo anaendelea kuwa mkristo wa kweli au mpagani wa kawaida tu hata akijiita mkristo?

Hatulengi kudhalilisha imani za wenzetu wala kuwaonyesha kama majuha lakini ni ujuha kutumia alama ya kipagani ambao kimsingi ndiye adui mkubwa wa dini. Tunaandika haya kwa kuzingatia ushauri wa bure lakini wa maana. Yesu Alisema kuwa mkiitafuta kweli itawaweka huru kweli kweli. Kama hivyo ndivyo kwanini nasi tusiwaweke huru kweli kweli ?

Kwa taarifa yako msomaji msalaba umekuwa nongwa hasa kwa wakatoliki. Kwani huchora alama ya msalaba kila waingiapo kanisani, kunywa au kula, wakati wa kulala wakati wa kuamka n.k Pia msalaba huchorwa kwenye mwili wa mtu tangu siku ya kuzaliwa (kubatizwa) hadi kuzikwa huku kaburi lake likiubeba milele !

Kwa waroma msalaba uko kila mahali. Kwenye meza, makanisa, hata tumbo la kanisa limejengwa kwa ishara ya msalaba, hata kwenye vikombe wanavyotumia kanisani hufunikwa kwa kitambaa chenye alama ya msalaba. Kwa taarifa yako ni kwamba padre hufanya alama ya msalaba mara 16 wakati akiendesha misa huku akiongeza mara 30 za kuibariki altare!

Kama kweli msalaba ni alama ya laana na ya kipagani huku ni kufanya nini kama siyo kuwalaani waumini hata madhabahu yao. Je hapa kunaweza kuepukika kwa mabalaa na majanga yanayolikumba kanisa kama vile ulawiti na uzinzi wa mapadre wake?

Imekuwa ni jadi kwa mkristo kujilaani kwa kila afanyalo. Hali wala hanywi bila kujitia alama hii ya laana
.

Hata tukiambwa kuwa msalaba unatumiwa kama alama ya kusulubiwa kwa Yesu ambaye ni alama ya ukombozi wa kinjozi, bado haiingii akilini kwani zana na nyenzo hii ilianza kutumika kabla ya kuzaliwa na kusulubiwa kwake.

Je ni wapi ukiachi siku ya kusulubiwa ulipoona Yesu na wanafunzi wake wakiongozana na msalaba kwenye shughuli zao za kueneza injili?

Tuhitimishe. Huko Misri, Ugiriki , Syria na Karthago, Palestina na Roma msalaba pia ulitumika kuwaadhibia wahalifu waliokuwa wametenda maovu makubwa kama alama ya kulaaniwa kwao.

Kimsingi msalaba na matumizi yake vimepotoshwa sana kama ilivyo kwa dhana kuu ya ubaba. Soma Matayo 23:9-11. tukiache magube ya kanisa, hili liko wazi kuwa msalaba hauna uhusiano na ukristo wala dini aliyoileta Yesu. Huenda tukikubali kusema kuwa Ukristo siyo dini aliyoleta Yesu twaweza kuyakumbatia na kuyakubali matumizi ya msalaba kwa raha bila ubishi.

Lakini si kosa la kanisa. Kwani kama hadi leo halijamjua Yesu mwenyewe litajuaje upogo na najisi ya msalaba kwa kazi ya Mungu?

Tuhitimishe kwa kumnukuu Bwana J. D. Parsons katika kitabu chake kiitwacho The Non-Christian Cross anaelezea kuwa:

There is not a single sentence in any of the numerous writings forming the New Testament, which, in the original Greek, bears even indirect evidence to the effect that the stauros used in the case of Jesus was other than an ordinary stauros; much less to the effect that it consisted, not of one piece of timber, but of two pieces nailed together in the form of a cross.”

Nakaribisha hoja juu ya kuyavinjari haya tunayoletewa. Huu ndiyo wakati muafaka wa kuhoji na kuhoji na kuhoji hadi kweli ipatikane ili ituweke huru kweli kweli.​
Msalaba Kwa wakristo ni Ishara ya Ukombozi na ushindi wetu, sababu Yesu ni Mungu aliyekuja katika mwili wa mwanadamu,alikufa msalabani, akazikwa na kufufuka siku ya tatu.

Matumizi ya misalaba halisi ni upangani, msalaba unatumika katika Imani.

Pia Tuje tujadili kuhusu, Jua na mwezi kwenye misikiti ya waislamu ni Ibada ya sanamu. Wanaabudu mwezi na jua Kwa kuangalia kaskazini.

Pia matumizi ya msaafu ni Ibada ya sanamu na upagani.

Karibu🙏
 
Msalaba Kwa wakristo ni Ishara ya Ukombozi na ushindi wetu, sababu Yesu ni Mungu aliyekuja katika mwili wa mwanadamu,alikufa msalabani, akazikwa na kufufuka siku ya tatu.

Matumizi ya misalaba halisi ni upangani, msalaba unatumika katika Imani.

Pia Tuje tujadili kuhusu, Jua na mwezi kwenye misikiti ya waislamu ni Ibada ya sanamu. Wanaabudu mwezi na jua Kwa kuangalia kaskazini.

Pia matumizi ya msaafu ni Ibada ya sanamu na upagani.

Karibu🙏

Hivi ni wapi yesu alisema msalaba ni ishara ya ukombozi na wapi alisema yeye ni mungu aliyekuja katika mwili wa binadamu??

Nyota na mwezi mleta uzi amesema atafungua uzi baadaye , itakuwa vizuri ukaja kuchangia
 
Je mwezi mchanga na nyota Kwa wavaa kobasi ni upagani ?
 
Hivi ni wapi yesu alisema msalaba ni ishara ya ukombozi na wapi alisema yeye ni mungu aliyekuja katika mwili wa binadamu??

Nyota na mwezi mleta uzi amesema atafungua uzi baadaye , itakuwa vizuri ukaja kuchangia
Kuzaliwa kusulubiwa msalabani, kufa na kufufuka na kupaa Mbinguni Kwa Yesu ndiyo nguzo kuu ya Imani ya Wakristo.

Naamini unajua Yesu Yu hai sababu ya KUFUFUKA na kupaa Mbinguni live.

Pia unajua Kwa mwezi na nyota kwenye misikiti ni Ibada ya sanamu.
 
Kuzaliwa kusulubiwa msalabani, kufa na kufufuka na kupaa Mbinguni Kwa Yesu ndiyo nguzo kuu ya Imani ya Wakristo.

Naamini unajua Yesu Yu hai sababu ya KUFUFUKA na kupaa Mbinguni live.

Pia unajua Kwa mwezi na jua kwenye misikiti ni Ibada ya sanamu.

Kusulubiwa na kufa msalabani ni vitu ambavyo havina ushahidi wowote kutoka ndani ya biblia. kama unao ulete,

Yesu hakufufuka kwani hakufa

mwezi na nyote tutaongea kwenye uzi ataoufungua mleta uzi kama alivyoahidi, kuwa na subira twende na mada
 
Kuzaliwa kusulubiwa msalabani, kufa na kufufuka na kupaa Mbinguni Kwa Yesu ndiyo nguzo kuu ya Imani ya Wakristo.

Naamini unajua Yesu Yu hai sababu ya KUFUFUKA na kupaa Mbinguni live.

Pia unajua Kwa mwezi na jua kwenye misikiti ni Ibada ya sanamu.


"Aliyeniona mimi amemwona baba."

Wacha tuangalie muktadha:

“Filipo akamwambia, Bwana, tuonyeshe Baba, nasi yatutosha. Baba; nawe wasemaje basi, Utuonyeshe Baba?

Yohana 14:8-9

Filipo alitaka kumwona Mungu kwa macho yake mwenyewe, lakini hii haiwezekani kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kufanya hivyo. Biblia inasema:

"Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote,"

Yohana 1:18

"Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote,"

1 Yohana 4:12

"Na Baba mwenyewe aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala sura yake hamjaiona."

Yohana 5:37

Lakini walikuwa wakisikiliza sauti ya Yesu na kumtazama akiwa amesimama mbele yao!

Yesu alikuwa anatuambia tu kwamba matendo yake mwenyewe na miujiza inapaswa kuwa uthibitisho wa kutosha wa kuwepo kwa Mungu bila Mungu kushuka kimwili na kujiruhusu kuonekana kila wakati mtu ana shaka.

Hii ni sawa na kwa mfano:

1)Yohana 8:19: "Wakamwambia, Baba yako yuko wapi? Yesu akajibu, Ninyi hamnijui mimi, wala Baba yangu; kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba yangu."

2)Yohana 12:44 "Yesu akapaza sauti, akasema, Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi, bali yeye aliyenipeleka."

3)Yohana 15:23 "Yeye anichukiaye mimi anamchukia na Baba yangu."

4)Mathayo 10:40-41 "Awapokeaye ninyi, anipokea mimi (Yesu), naye anipokeaye mimi, anampokea yeye aliyenituma. Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki."

5) Waamuzi 13:20-22 inasema: “Ikawa, huo mwali wa moto ulipopaa juu mbinguni, kutoka katika madhabahu, ndipo malaika wa BWANA akapanda katika mwali wa moto wa madhabahu, Manoa na mkewe wakatazama. wakaanguka kifudifudi, lakini malaika wa BWANA hakumtokea tena Manoa na mkewe.” Ndipo Manoa akajua ya kuwa yeye ni malaika wa BWANA.” Manoa akamwambia mkewe, Hakika tutakufa, kwa sababu tumemwona Mungu."

Ikiwa tunataka kusisitiza kwamba wakati Filipo alipomwona Yesu (AS), alikuwa amemwona Mungu "Baba" kimwili kwa sababu Yesu "ndiye" Baba na wote wawili ni "Utatu," na Yesu ni "mwili" wa Mungu, basi. hii itatulazimisha kuhitimisha kuwa Yohana 1:18, 1 Yoh 4:12, Yoh 5:37..nk. yote ni uongo.

Je, Filipo ndiye pekee ambaye "alimwona baba"? Hebu tusome:

"Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba."

Yohana 6:46

Ni nani huyu "aliye wa Mungu" na amemwona Baba unayemwuliza? Hebu tuulize tena Biblia:

“Yeye aliye wa Mungu husikia maneno ya Mungu;

Yohana 8:47.

Na

"Mpenzi, usifuate uovu, bali wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu."

3 Yohana 1:11.

Je, watu wote ambao wamefanya mema pia wamemwona Mungu kimwili?

"Hakuna uoni unaoweza kumshika, lakini uwezo wake uko juu ya uoni wote. Yeye ni Mpole, Mjuzi wa kila kitu."

Qur'ani Tukufu, Al-Anaam(6):103
 
Kusulubiwa na kufa msalabani ni vitu ambavyo havina ushahidi wowote kutoka ndani ya biblia. kama unao ulete,

Yesu hakufufuka kwani hakufa

mwezi na nyote tutaongea kwenye uzi ataoufungua mleta uzi kama alivyoahidi, kuwa na subira twende na mada
Mvaa kobazi, mpinga kristo katika ubora wako,

Ndomana mudi akamsilimisha shetani awe mwislamu halafu mnaenda tena kumpiga nawe kwenye huja mecca.

Soma (Wagalatia 1:8).

Waislamu ni dini ya uongo ya mpinga kristo,msipookoka, moto wa Jehanum unawahusu.
 
"Aliyeniona mimi amemwona baba."

Wacha tuangalie muktadha:

“Filipo akamwambia, Bwana, tuonyeshe Baba, nasi yatutosha. Baba; nawe wasemaje basi, Utuonyeshe Baba?

Yohana 14:8-9

Filipo alitaka kumwona Mungu kwa macho yake mwenyewe, lakini hii haiwezekani kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kufanya hivyo. Biblia inasema:

"Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote,"

Yohana 1:18

"Hakuna mtu aliyemwona Mungu wakati wowote,"

1 Yohana 4:12

"Na Baba mwenyewe aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala sura yake hamjaiona."

Yohana 5:37

Lakini walikuwa wakisikiliza sauti ya Yesu na kumtazama akiwa amesimama mbele yao!

Yesu alikuwa anatuambia tu kwamba matendo yake mwenyewe na miujiza inapaswa kuwa uthibitisho wa kutosha wa kuwepo kwa Mungu bila Mungu kushuka kimwili na kujiruhusu kuonekana kila wakati mtu ana shaka.

Hii ni sawa na kwa mfano:

1)Yohana 8:19: "Wakamwambia, Baba yako yuko wapi? Yesu akajibu, Ninyi hamnijui mimi, wala Baba yangu; kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba yangu."

2)Yohana 12:44 "Yesu akapaza sauti, akasema, Yeye aniaminiye mimi, haniamini mimi, bali yeye aliyenipeleka."

3)Yohana 15:23 "Yeye anichukiaye mimi anamchukia na Baba yangu."

4)Mathayo 10:40-41 "Awapokeaye ninyi, anipokea mimi (Yesu), naye anipokeaye mimi, anampokea yeye aliyenituma. Ampokeaye nabii kwa kuwa ni nabii, atapata thawabu ya nabii; ampokeaye mwenye haki kwa kuwa ni mwenye haki, atapata thawabu ya mwenye haki."

5) Waamuzi 13:20-22 inasema: “Ikawa, huo mwali wa moto ulipopaa juu mbinguni, kutoka katika madhabahu, ndipo malaika wa BWANA akapanda katika mwali wa moto wa madhabahu, Manoa na mkewe wakatazama. wakaanguka kifudifudi, lakini malaika wa BWANA hakumtokea tena Manoa na mkewe.” Ndipo Manoa akajua ya kuwa yeye ni malaika wa BWANA.” Manoa akamwambia mkewe, Hakika tutakufa, kwa sababu tumemwona Mungu."

Ikiwa tunataka kusisitiza kwamba wakati Filipo alipomwona Yesu (AS), alikuwa amemwona Mungu "Baba" kimwili kwa sababu Yesu "ndiye" Baba na wote wawili ni "Utatu," na Yesu ni "mwili" wa Mungu, basi. hii itatulazimisha kuhitimisha kuwa Yohana 1:18, 1 Yoh 4:12, Yoh 5:37..nk. yote ni uongo.

Je, Filipo ndiye pekee ambaye "alimwona baba"? Hebu tusome:

"Si kwamba mtu amemwona Baba, ila yeye atokaye kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba."

Yohana 6:46

Ni nani huyu "aliye wa Mungu" na amemwona Baba unayemwuliza? Hebu tuulize tena Biblia:

“Yeye aliye wa Mungu husikia maneno ya Mungu;

Yohana 8:47.

Na

"Mpenzi, usifuate uovu, bali wema. Yeye atendaye mema ni wa Mungu; bali yeye atendaye mabaya hakumwona Mungu."

3 Yohana 1:11.

Je, watu wote ambao wamefanya mema pia wamemwona Mungu kimwili?

"Hakuna uoni unaoweza kumshika, lakini uwezo wake uko juu ya uoni wote. Yeye ni Mpole, Mjuzi wa kila kitu."

Qur'ani Tukufu, Al-Anaam(6):103
Mpagani, Islam, uliyejaa mapepo kichwani, huwezi kutumia BIBLIA yangu kunielewesha, labda ungeniomba Elimu nikufundishe.
 
Mvaa kobazi, mpinga kristo katika ubora wako,

Ndomana mudi akamsilimisha shetani awe mwislamu halafu mnaenda tena kumpiga nawe kwenye huja mecca.

Soma (Wagalatia 1:8).

Waislamu ni dini ya uongo ya mpinga kristo,msipookoka, moto wa Jehanum unawahusu.

Injili ya Nani Paulo Anahubiri?


Kuna mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili yake mwenyewe...



Warumi 2:16

16 Hili litatukia siku ile Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama Injili yangu inavyotangaza.

Warumi 16:25

Basi atukuzwe yeye awezaye kuwathibitisha ninyi kwa Injili yangu na uhubiri wa Yesu Kristo, sawasawa na ufunuo wa ile siri iliyofichwa tangu zamani za kale;



Kuna mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili ya Mungu...



Warumi 15:16

16 niwe mhudumu wa Kristo Yesu kwa watu wa mataifa, mwenye wajibu wa ukuhani wa kutangaza Habari Njema ya Mungu, ili watu wa mataifa mengine wawe dhabihu inayokubalika kwa Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.

2 Wakorintho 11:7

7 Je, ni dhambi kwangu kujishusha ili nipate kuwainua ninyi kwa kuwahubiria Habari Njema ya Mungu bila malipo?


Kuna mistari inayoonyesha kwamba Paulo alikuwa akihubiri Injili ya Kristo...

1 Wakorintho 9:13

Lakini hatukutumia haki hii. Badala yake, tunavumilia chochote badala ya kuizuia Injili ya Kristo. 13 Je!

2 Wakorintho 2:12

12 Nilipokwenda Troa kuhubiri Habari Njema ya Kristo, nikaona kwamba Bwana amenifungulia mlango.

2 Wakorintho 9:13

13 Kwa sababu ya utumishi mliojionyesha wenyewe, watu watamsifu Mungu kwa ajili ya utii unaoambatana na kuiungama kwenu Injili ya Kristo, na kwa ukarimu wenu katika kushiriki pamoja nao na pamoja na watu wengine wote.

2 Wakorintho 10:14

14 Hatuendi mbali sana katika kujisifu kwetu, kama ingekuwa hivyo kama hatungekuja kwenu, kwa maana tulifika kwenu kwa Habari Njema ya Kristo.

Warumi 1:9

9 Mungu, ambaye ninamtumikia kwa moyo wangu wote katika kuihubiri Habari Njema ya Mwanawe, ni shahidi wangu jinsi ninavyowakumbuka daima.


Mstari wa mwisho unaonyesha tofauti kati ya Mungu na Mwana wake (ikimaanisha Yesu).

Je, Paulo alikuwa akihubiri injili yake mwenyewe, injili ya Yesu au Injili ya Mungu?
 
Mpagani, Islam, uliyejaa mapepo kichwani, huwezi kutumia BIBLIA yangu kunielewesha, labda ungeniomba Elimu nikufundishe.
Mbona unashindwa kujibu hoja unanishambulia mimi kwa majina ya ovyo ovyo au ndiyo mafundisho ya kanisa lenu hayo ?+
 
Mbona unashindwa kujibu hoja unanishambulia mimi kwa majina ya ovyo ovyo au ndiyo mafundisho ya kanisa lenu hayo ?+
Ndo nakwambia, wewe mpinga kristo usiyeamini kufufuka Kwa Yesu, huwezi nielekeza chochote kuhusu BIBLIA.

ELIMU unayoijua vizuri ni ya kufuga majini na kufanya uchawi wa chumaulete!!
 
Ndo nakwambia, wewe mpinga kristo usiyeamini kufufuka Kwa Yesu, huwezi nielekeza chochote kuhusu BIBLIA.

ELIMU unayoijua vizuri ni ya kufuga majini na kufanya uchawi wa chumaulete!!

Mimi siongeli kwa maneno yangu nakuwekea mistari ya biblia wewe unakasirika


Yesu hakuja kufa kwa dhambi ya mtu



Wayahudi wa Palestina walitarajia kuwasili kwa Mtume ambaye angepindua serikali ya Kirumi na kuharibu uvamizi huo, asisulubiwe nao! Yesu aliweka wazi kwamba lengo la utume wake lilikuwa ni kuwahubiria Wana wa Israili Sheria na Injili (tu):



Yesu akajibu, "Twendeni mahali pengine kwenye vijiji vilivyo karibu, ili nihubiri huko pia. Ndiyo maana nimekuja." ( Marko 1:38 )



Lakini akasema, "Ni lazima niihubiri Habari Njema ya Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa sababu ndiyo sababu nilitumwa." ( Luka 4:43 )



Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea. (Mathayo 18:11, KJV pekee)



Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea. ( Luka 19:10 )



Lakini enendeni, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si dhabihu; kwa maana sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi. ( Mathayo 9:13 )



“Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza.

Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.” ( Mathayo 23:1-3; Mathayo 5:17-18 )
 
Ndo nakwambia, wewe mpinga kristo usiyeamini kufufuka Kwa Yesu, huwezi nielekeza chochote kuhusu BIBLIA.

ELIMU unayoijua vizuri ni ya kufuga majini na kufanya uchawi wa chumaulete!!

Yesu hakuwa tayari kufa:



Yesu aliepuka kusulubiwa kwa sababu hakutaka kufa, hilo halikuwa kusudi la utume wake, na MUNGU alimwokoa. Kulingana na Injili, Yesu hakuwa tayari kabisa kusulubishwa, au hata kupigwa mawe:



Baada ya hayo Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya, kwa maana hakutaka kutembea katika Uyahudi kwa sababu Wayahudi walikuwa wanataka kumwua. ( Yohana 7:1 )



Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni, akipita katikati yao; ( Yohana 8:59 )



Basi Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi; lakini alitoka hapo akaenda mpaka nchi iliyo karibu na jangwa, mpaka mji uitwao Efraimu, akakaa huko pamoja na wanafunzi wake. ( Yohana 11:54 )



Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

( Mathayo 26:39, Luka 22:42 )



Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu; ( Waebrania 5:7 )



Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana akiomba kwa bidii. ( Yakobo 5:16 )
 
Yesu hakuwa tayari kufa:



Yesu aliepuka kusulubiwa kwa sababu hakutaka kufa, hilo halikuwa kusudi la utume wake, na MUNGU alimwokoa. Kulingana na Injili, Yesu hakuwa tayari kabisa kusulubishwa, au hata kupigwa mawe:



Baada ya hayo Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya, kwa maana hakutaka kutembea katika Uyahudi kwa sababu Wayahudi walikuwa wanataka kumwua. ( Yohana 7:1 )



Basi wakaokota mawe ili wamtupie; lakini Yesu akajificha, akatoka hekaluni, akipita katikati yao; ( Yohana 8:59 )



Basi Yesu hakutembea tena hadharani kati ya Wayahudi; lakini alitoka hapo akaenda mpaka nchi iliyo karibu na jangwa, mpaka mji uitwao Efraimu, akakaa huko pamoja na wanafunzi wake. ( Yohana 11:54 )



Akaenda mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

( Mathayo 26:39, Luka 22:42 )



Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu; ( Waebrania 5:7 )



Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, ili mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana akiomba kwa bidii. ( Yakobo 5:16 )
Ndo nakwambia,

ELIMU ya kufuga majini ndo unaijua zaidi ewe mpinga kristo,

BIBLIA huijui.

Karibu.
 
Matokeo ya kuvutia bangi kwenye vijiwe vya kahawa ndio haya sasa
 
Back
Top Bottom