for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,394
- 4,430
Kweliii bwana wakina sheikhe kishkish wanadili na afande sele tuuKama wanachafua IMANI mbona sioni viongozi wakubwa wa hiyo imani kukukemea mauaji hayo?
NB: unconditional love
Kweliii bwana wakina sheikhe kishkish wanadili na afande sele tuuKama wanachafua IMANI mbona sioni viongozi wakubwa wa hiyo imani kukukemea mauaji hayo?
NB: unconditional love
Wale ni kutia hata kwenye kiroba mnamtia mtoni mzima mzima ili aone uchungu nae maana wanakata watu vichwa kama kuku wapuuzi sana.Hao watu sio wa kuonea huruma hata kidogo ni kuwadhibiti mapema kabla hawajaleta uchafuzi kwenye nchi...
lkn kuna wtz wengine process za kuwadhibiti zikianza wanapiga kelele mara ooh haki za binadamu!!!! shenz type
Cha ajabu eti jamaa wanakuwa na siraha kali balaa, mpk vifaru! Unajiuliza wamepata wapi!Nakuhakikishia huo ni mkono wa mabeberu, nilifatilia story ya jamaa aliyesumbua Uganda Kama sijakosea ni Joseph Konyi nikajagundua jamaa anawezeshwa na USA kuanzia zana za vita na mikakati yote badae haohao USA wanatangaza dau kwa yoyote atakayewezesha kukamatwa kwake kumbe mission inasukwa na haohao
Wanauziwa na marekaniCha ajabu eti jamaa wanakuwa na siraha kali balaa, mpk vifaru! Unajiuliza wamepata wapi!
Halafa kabla ya kumchinja yanafanya dua na kumtaja Allah.... Waislam jiepusheni na matakataka kama hawa wanao uchafua uislam kwa mambo yao binafsi.Jamaa sijui maandiko yao wanatoa wapi. Yaani jitu linamchinja mtu live na linanawa damu! Jinga sana
Umeona wapi wakiwatetea?Muulize Zitto Kabwe na Tundu Lissu wanaowatetea wana maoni gani kuhusu sredi yako
sijakuelewa hapaMambo ya Kijeshi hayawi discussed mitandaoni mkuu, Just know we are saferl under Commander in chief Samia Suluhu
Sasa ile mistari c wanaitoa kwenye kitabu cha dini?Halafa kabla ya kumchinja yanafanya dua na kumtaja Allah.... Waislam jiepusheni na matakataka kama hawa wanao uchafua uislam kwa mambo yao binafsi.
Kama ndio hivyo hao wanaotumwa kuua watu na Marekani wote mashetani.Nakuhakikishia huo ni mkono wa mabeberu, nilifatilia story ya jamaa aliyesumbua Uganda Kama sijakosea ni Joseph Konyi nikajagundua jamaa anawezeshwa na USA kuanzia zana za vita na mikakati yote badae haohao USA wanatangaza dau kwa yoyote atakayewezesha kukamatwa kwake kumbe mission inasukwa na haohao
Hao watu kwenye baadhi ya maeneo mfano Kaskazini mwa Nigeria, maisha yao ni magumu sana ukilinganisha na maeneo ya kusini mwa nchi! Vivyo hivyo eneo la Cabo Delgado, Msumbiji!Haki gani inampa mtu nguvu za kuua mtu mwingine?
Hivi vikundi vya kigaidi msivichukulie powaa vinakuwa undercomtrol na na Washington dc
mkuu hapo kwenye silaha Fulani kuwa costful naomba nifafanulie, nilikuwa nasoma mahala fulani jinsi makombora yanavyokuwa na gharama kubwa kweny missionIle style aliyemo na asiyekuwemo unakaanga. Ila ni gharama sana, ile mizinga ni too costful
Huyu shehe kavuKweliii bwana wakina sheikhe kishkish wanadili na afande sele tuu
Shida ni jeshi la Msumbiji wanakimbia mapigano hovyoHawa dawa ni kuwashushia kipigo kama cha Tolabora