Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Kwa Tz uzuri kila mtz ni mpelelezi kwa kuchunguza mijitu mijinga kama hii, we uliona wapi mtu ukampigania eti kumlinda MUNGU wa kweli na dini yake? yaani Mungu hana uwezo kutufanya tukiamka asubuhi wote tukaipenda hiyo dini kwa hiyari mpaka tumkatie vichwa vya wanadamu aliowaumba mwenyewe? Something somewhere it,s not right about these guysMmmh!
MUNGU ILINDE TANZANIA NA WATU WAKE.NAAMINI MIPAKA YETU IPO SALAMA NA ITAKUWA SALAMA.
Kwa kinacho onekana katika picha hao madogo hawaja penda kwenda kwa kwa hiyo mijitu