Al-Shaabab waapa kuiharibu Ramadhan...

Al-Shaabab waapa kuiharibu Ramadhan...

shifta

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
474
Reaction score
192
Katika mfululizo wa ujumbe uliotolewa hivi
karibuni kupitia Twitter, al-Shabaab ilijisifu kuhusu
namna wapiganaji wake walivyofanya
mashambulio zaidi ya 100 kwa kipindi cha nusu ya
kwanza ya Ramadhan, na kuapa kuongeza vurugu
wiki zijazo.
Katika ujumbe mbili uliotumwa tarehe 26 Julai, kiongozi mwandamizi wa al-
Shabaab alielezea sababu zao za kufanya vurugu. "Ramadhan ni mwezi wa Jihadi na kutoa sadaka. Ni
muda wa kufanya vitendo vya uadilifu na kutoa
shukrani kwa Allah kwa huruma zake," ilisema.
"Na njia gani iliyo nzuri ya kufunga Ramadhan na
kutoa shukrani kwa Allah kuliko kuchapa shingo
za wavamizi na kuharibu matamanio yao!" Katika jaribio la kuonyesha umoja kukiwa na mgawanyo wa ndani unaoendelea, al-Shabaab ilisema tarehe 27 Julai, "Kama kuna chochote,
kinachoibuka haraka katika mashambulio
yaliratibiwa ni kipimo bayana cha uimara cha
Mujahidina na uwezo wao wa uendeshaji." "Na pamoja na kipindi cha baadaye cha mfungo
unaokaribia Ramadhan ,operesheni zinatarajiwa
kuongezeka hivi punde insha-Allah," ilisema taarifa hiyo toka kwa Kiongozi huyo...
 
Uislamu gani huo.....mpaka wanampango wa kuwaangamiiza hao wanaowaita waislamu wenzao.

I hate when people associate these groups with Islam. Its so pathetic!
 
Uislamu gani huo.....mpaka wanampango wa kuwaangamiiza hao wanaowaita waislamu wenzao.

I hate when people associate these groups with Islam. Its so pathetic!


Kama Muislam mwenzio anamkaribisha Qafir ili aje akuangamize huyo unatakiwa umuue kisha ukamuue Qafir...
 
Uislamu gani huo.....mpaka wanampango wa kuwaangamiiza hao wanaowaita waislamu wenzao.

I hate when people associate these groups with Islam. Its so pathetic!
We ungekuwa pathetic ungekumbana na Al Shabab na hayo mavazi uliyovaa,au ambayo haukuvaa.
 
Also, one of the most Earth-altering processes known is taking place in the Middle Eastern region.
In this area, three tectonic plates are pulling away from one another and this is taking place at what
is called a “triple junction” which is in a place known as the Afar Triangle of Djibouti, which sits
right on the coast of the Gulf of Aden, at the mouth of the Red Sea.
97
The result, then is three rifts—East Africa’s Great Rift, the Red Sea and the Gulf of Aden. The Red
Sea and Gulf of Aden have, over a period of time, filled in with sea water yet, at one time, these
were actually blocks of land which dropped down when the crust of the Earth stretched from movements.
The ridges, which are composed partially of lava, welled up along the faults in that area.
For your information, Djibouti lies just north of Somalia and just south of Ethiopia, and across the
Gulf of Aden from Yemen. So, as you can see, this area of your world is in the process, even now,
of MASSIVE changes.
Is it coincidence, therefore, that so much political energy is focused there?Remember your lessons on the production and manifestations of energies. The planet is bound to react to the focussed energies in that place,and this,chelas,is the way your planet is responding to those created energies.[Yaani Al Shabab wakifanya hayo mambo waliyotishia kufanya,the Rift Valley will go haywire]
 
Also, one of the most Earth-altering processes known is taking place in the Middle Eastern region.
In this area, three tectonic plates are pulling away from one another and this is taking place at what
is called a “triple junction” which is in a place known as the Afar Triangle of Djibouti, which sits
right on the coast of the Gulf of Aden, at the mouth of the Red Sea.
97
The result, then is three rifts—East Africa’s Great Rift, the Red Sea and the Gulf of Aden. The Red
Sea and Gulf of Aden have, over a period of time, filled in with sea water yet, at one time, these
were actually blocks of land which dropped down when the crust of the Earth stretched from movements.
The ridges, which are composed partially of lava, welled up along the faults in that area.
For your information, Djibouti lies just north of Somalia and just south of Ethiopia, and across the
Gulf of Aden from Yemen. So, as you can see, this area of your world is in the process, even now,
of MASSIVE changes.
Is it coincidence, therefore, that so much political energy is focused there?Remember your lessons on the production and manifestations of energies. The planet is bound to react to the focussed energies in that place,and this,chelas,is the way your planet is responding to those created energies.[Yaani Al Shabab wakifanya hayo mambo waliyotishia kufanya,the Rift Valley will go haywire]

Yericko Nyerere hebu njoo hapa utoe ufafanuzi...
 
Last edited by a moderator:
You are so disconnected jamani. Duh
Also, one of the most Earth-altering processes known is taking place in the Middle Eastern region.
In this area, three tectonic plates are pulling away from one another and this is taking place at what
is called a “triple junction” which is in a place known as the Afar Triangle of Djibouti, which sits
right on the coast of the Gulf of Aden, at the mouth of the Red Sea.
97
The result, then is three rifts—East Africa’s Great Rift, the Red Sea and the Gulf of Aden. The Red
Sea and Gulf of Aden have, over a period of time, filled in with sea water yet, at one time, these
were actually blocks of land which dropped down when the crust of the Earth stretched from movements.
The ridges, which are composed partially of lava, welled up along the faults in that area.
For your information, Djibouti lies just north of Somalia and just south of Ethiopia, and across the
Gulf of Aden from Yemen. So, as you can see, this area of your world is in the process, even now,
of MASSIVE changes.
Is it coincidence, therefore, that so much political energy is focused there?Remember your lessons on the production and manifestations of energies. The planet is bound to react to the focussed energies in that place,and this,chelas,is the way your planet is responding to those created energies.[Yaani Al Shabab wakifanya hayo mambo waliyotishia kufanya,the Rift Valley will go haywire]
 
Uislamu gani huo.....mpaka wanampango wa kuwaangamiiza hao wanaowaita waislamu wenzao.

I hate when people associate these groups with Islam. Its so pathetic!


There is nothing more to disagree!!!!
 
Which Allah do they worship? I bet they use the same Quran to execute their jihad.
 
Hivi hawa watu wanaabudu Mungu gani!?

Hii ndo faida ya pesa zinazotokana na Islamic banking...kwenda kufadhili magaidi!...eti kisingizio "Riba"!

What a Disgrace!
 
Which Allah do they worship? I bet they use the same Quran to execute their jihad.


Isome Quraan vizuri kisha utaungana nao tu...
Usiisome kama unasoma Gazeti la Mzalendo lililojaa matangazo ya waganga
 
Back
Top Bottom