Elections 2010 Al-Nuur na CUF wana agenda gani?

Mchungaji utahitaji source ya nini tena hapa? Nenda meza za magazeti utaliona tu. Tena kuna ka paragraph sijui aliyekuwa anakasoma na kukatafsiri alikuwa amelewa tende? Kameandikwa hivi:-

Title: SLAA ATAKWEPAJE USIA WA POPE XIII?
Content:" ........... it is always urgent indeed the chef preoccupation to think best how to serve the interest of Catholicism. In any election he went on Catholics are obligated to votefor those who pledged themselves to the Catholic cause and never prefer to them anyone hostile to (Catholic) religion which is the only true religion" Page 150 VICARS OF CHRIST

Hawa watu Udini unawafanya wazidi kuwa nyuma kimaendeleo

Kuna Minister mmoja Kenya Jina nimelisahau, Nasikia Ni tajiri sana.
Jamaa akiandikwa habari za kijingajinga kwenye magazeti anatinga mahakamani.
Ameshinda kesi nyingi na kulipwa fidia nyingi sana. Hivi hawa Alnuur wanavielelezo gani kuwa Slaa ana usia wa pope.
Hivi inawezekana Slaa Akawafungulia mashtaka hawa jamaa na fidia akaomba wasiendike habari yeyote kuhusu yeye.
nina uhakika kabisa siku hawa jamaa wataandika habari nzuri za Slaa Mtume atafufuka.
 
Kuna Minister mmoja Kenya Jina nimelisahau, Nasikia Ni tajiri sana.
Jamaa akiandikwa habari za kijingajinga kwenye magazeti anatinga mahakamani.
Ameshinda kesi nyingi na kulipwa fidia nyingi sana. Hivi hawa Alnuur wanavielelezo gani kuwa Slaa ana usia wa pope.
Hivi inawezekana Slaa Akawafungulia mashtaka hawa jamaa na fidia akaomba wasiendike habari yeyote kuhusu yeye.
nina uhakika kabisa siku hawa jamaa wataandika habari nzuri za Slaa Mtume atafufuka.

hapa hajeswa slaa umesemwa udini wa slaa, mwandishi amefanya general conclusion basing on pope`s words! sijui sana sheria lakini sioni grounds za mashataka hapo.
 
hapa hajeswa slaa umesemwa udini wa slaa, mwandishi amefanya general conclusion basing on pope`s words! sijui sana sheria lakini sioni grounds za mashataka hapo.

Kwa hiyo Lipumba na yeye ana wosia kutoka kwa Marehemu Mtume Muhamad?
 


Gazeti la An Nur toleo la leo lina front page headline inayosomeka “Lipumba afunika msafara wa CCM.”

Tatizo langu hapa halipo katika ukweli au la wa headline hiyo kutokana na hali halisi iliyojitokeza wakati wa uchukuaji wa fomu – tatizo langu ni kwamba vipi hili gazeti la dini ya Kiisilamu linajiingiza katika ushabiki wa kisiasa kwa upande wa CUF?

Nasema hivi kwa sababu sijawahi hata siku moja kuona gazeti hilo likiandika habari kuu za mbele ambazo ni positive kuhusu vyama vingine vya kisiasa isipokuwa za CUF tu. Inakuwaje hapa? Gazeti hilo haliwezi tu kuwa friendly kwa CUF bila sababu ya msingi.

Kweli hiyo tuhuma za siku zote kwamba CUF ni chama cha Kiisilamu ni za uzushi?

Ndio wanasemaga Cuf cha waislam na Chadema wakristo
 
ukweli hata gazeti la ipp limekosa picha ya kuweka na badala yake wameweka picha iliyofunika jiji ya wanachama wa CUF.


cuff.jpg
Wafuasi wa CUF wakisindikiza wagombea wao kurudisha fomu zao jijini Dar es Salaam jana.
 
mmiliki wake nani????????
kama ni CUF or potential member wa CUFkuandika hizo habari sio swala la udini ni mapenzi ya kichamai, maana hata siku moja sijaona UHURU or RAI or ... yakiandika mazuri ya upinzani zaidi ya CCM tu.

kwa vyovyote wewe umeanza kusoma magazeti juzi ama hujui umeandika nini, Ama labda utakuwa unaongelea rai la siku hizi chini ya RA,
 
Naomba nitoe maoni yangu hasa nikizingatia kuwa wachangaiaji wengi hawafanyi research kujua kile wamachoongelea. Kuna vyombo vya habari vya serikali na vile vya binafsi, gazeti la Annur ni la watu binafsi. Tofauti na vyombo vingine vya binafsi vilinavyojitambulisha kwa mfano Habari corp, IPP na Msemakweli ambalo linatolewa na Kanisa, ni vigumu sana kujua Annur linatolewa na chombo gani. Ni watu ambao wanaandika na kuwakilisha mawazo yao peke yao kama ya waislam. Naomba mwenye data anipe kuwa ni nani au chombo gani [Bakwata, baraza etc] kinachosimamia Annur.
Kwa maneno mengine ni jarida ambalo linajitambulisha kama gazeti la kiislam lakini hakuna ridhaa ya waislam kama society kuwa Annur ni gazeti lao. Kw mantiki hiyo maoni ya Annur si uwakilishi wa waislam kwa sababu halitolewi na chombo chochote kile kinachojulikana kisheria. Ninafaham waislam wengi tu wanaokerwa na Annur ''in a way''. Kwahiyo tusiyachukulie maoni ya watu wachache kama maoni ya society yote hadi pale tutakapopata uthibitisho kuwa gazeti ni mali ya mamlaka halali inayotambulika kisheria,hata kama litamilikiwa na kundi X basi ni kundi hilo litakalowakilishwa na sio waislam wote!!!
Kuhusu ushabiki kwa CUF, ni jarida na watu hao hao wanaweza kuwa na malengo yao ya kisiasa, lakini kwa ufinyu wa kuelewa, hata CUF wanapata wakati mgumu sana kwasababu kwa nchi kama tz ukigombea kwa gia ya udini basi wewe ni msindikizaji. CUF wanafaham, lakini Annur si organization ni watu wachache. Lakini ukweli ni kuwa politically Annur destructs CUF startegically! period!
Mwisho, gazeti la uhuru likiandika jambo ni kauli ya CCM maana linasimamiwa na CCM. Lakini gazeti la Tanzania Daima likitoa kauli si kauli ya Chadema maana si gazeti la chama ingawa mrengo wake ni chadema. Hata msemakweli au kiongozi bado nikisoma habari zake nitahitaji kuthibitisha kama ni Kauli za Kanisa au maoni ya mhariri. Tufungue macho na kuangalia kwa upana na si emotion. Askofu anayeendeshagari la kanisa akigonga mtu anakuwa ni dereva ambaye pia ni askofu aliyeendesha gari, linalomilikiwa na kanisa. Hii haina maana kanisa limegonga mtu! hadi pale kanisa litakapothibitisha kuwa lilimtuma askofu. Kwa mantiki hiyo Annur ni gazeti linaloandika habari za kiislam na limeegemea upande wa siasa za CUF! haina maana kuwa Waislam wamellituma gazeti la Annur kuandika habari za CUF, hadi pale ''Only and Only if'' Waislam kwa ujumla wao watathibitisha kuwa wamefanya hivyo.
Honestly, I hate to write about religion or any spiritual ideology, however I'm compelled to, because some of JF members are driven by emotion and not facts. I believe that believers and none all are entitled to respect not because of their faith, but as human. I call upon, the JF members who are fanatics, ignoble, ignorant and libertine, not to embarass the forum because they are ''superior atheist, Christian, Islam, Jews, sikh or Hindu''. Keep your faith alone!
 
mmiliki wake nani????????
kama ni CUF or potential member wa CUFkuandika hizo habari sio swala la udini ni mapenzi ya kichamai, maana hata siku moja sijaona UHURU or RAI or ... yakiandika mazuri ya upinzani zaidi ya CCM tu.

Mmiliki wake siyo CUF -- ni taasisi moja ya Kiislamu -- kwa hivyo ni gazeti linalopromote masuala ya Uisilamu. Hivyo kukipigia kampeni CUF tu, na siyo vyama vingine inaonyesha kuna unasaba kati ya chama hicho na gazeti.
 
ukweli hata gazeti la ipp limekosa picha ya kuweka na badala yake wameweka picha iliyofunika jiji ya wanachama wa CUF.


View attachment 12705
Wafuasi wa CUF wakisindikiza wagombea wao kurudisha fomu zao jijini Dar es Salaam jana.

Wajameni! Ohoo dear! Haya ni maandamano ya kaswida au chama cha siasa? Kweli CUF ni wajahidina 100%.
 
Mmiliki wake siyo CUF -- ni taasisi moja ya Kiislamu -- kwa hivyo ni gazeti linalopromote masuala ya Uisilamu. Hivyo kukipigia kampeni CUF tu, na siyo vyama vingine inaonyesha kuna unasaba kati ya chama hicho na gazeti.

Kuna kosa kushabikia? Na jee Padri anapoamuwa kugombea kwa chama fulani nalo hili lisemwe kuwa chama hicho ni cha Wakristo?
 
Mchungaji utahitaji source ya nini tena hapa? Nenda meza za magazeti utaliona tu. Tena kuna ka paragraph sijui aliyekuwa anakasoma na kukatafsiri alikuwa amelewa tende? Kameandikwa hivi:-

Title: SLAA ATAKWEPAJE USIA WA POPE XIII?
Content:" ........... it is always urgent indeed the chef preoccupation to think best how to serve the interest of Catholicism. In any election he went on Catholics are obligated to votefor those who pledged themselves to the Catholic cause and never prefer to them anyone hostile to (Catholic) religion which is the only true religion" Page 150 VICARS OF CHRIST

Hawa watu Udini unawafanya wazidi kuwa nyuma kimaendeleo[/QUOTE]

Ndiyo maana ni vyema tukawaacha wakazane kwenda misikitini, swala 7 kwa siku. Wakati wakiendekeza huo udini, wewe chukua vitabu, nyundo nk , kachape kazi. Wakifikia umri wakajua kinachoendelelea, we waajiri kama vbibarua kwenye mashamba yako, maduka nk. Period!
 
Wengine ni wakupuuzwa tu...mpuuzi!
Ilisemwa katika vitabu vya dini WALA MSIWAPE NGURUWE KITAKATIFU KWA MAANA.... Ikasemwa tena mTOTO MJINGA NI MZIGO WA MAMA YAKE!!! wengi kwa sababu ile ile ya kutoona... wanashabikia kwi kwi kwiiii.....
 
Hawa watu Udini unawafanya wazidi kuwa nyuma kimaendeleo[/QUOTE]

Ndiyo maana ni vyema tukawaacha wakazane kwenda misikitini, swala 7 kwa siku. Wakati wakiendekeza huo udini, wewe chukua vitabu, nyundo nk , kachape kazi. Wakifikia umri wakajua kinachoendelelea, we waajiri kama vbibarua kwenye mashamba yako, maduka nk. Period!
Maskini kalulu oh hapana Nyumbu! Uko usingizi wa aina gani? Uko hai kweli wewe? kama jibu ni ndio je unaishi dunia ipi??? Amka rafiki yangu, na usiyawaze yaliyo ya shetani... (au umeshasahau hapa pana mtu alileta mada "kwanini waislamu wanaweka misikiti kwenye kila kituo cha mafuta?" usiwe unasahau kiasi hicho... sihitaji kutoa mfano mwingine, ila wengi wanajua haswa wanaiushi mijini nyumba wanazoishi ni za kina nani (ondoa miji kama mbeya, iringa):teeth:
 
Mod kwa kuruhusu haya ndani ya forum hii una lako jambo KABISA. Sasa tuseme tu Waislamu lianzisheni ila msikimbie majibu yake toka kwetu wakristu. Mjue mlianza zaidi ya miaka 1400 iliyopita kuchokoa chokoa ukristu ambao wakati wote upo kimya. UISLAMU HAUJAWAHI KUUSHINDA UKRISTU NA HAITATOKEA MSIJIDANGANYE.
 
Nguruvi3 said:
Naomba nitoe maoni yangu hasa nikizingatia kuwa wachangaiaji wengi hawafanyi research kujua kile wamachoongelea. Kuna vyombo vya habari vya serikali na vile vya binafsi, gazeti la Annur ni la watu binafsi. Tofauti na vyombo vingine vya binafsi vilinavyojitambulisha kwa mfano Habari corp, IPP na Msemakweli ambalo linatolewa na Kanisa, ni vigumu sana kujua Annur linatolewa na chombo gani. Ni watu ambao wanaandika na kuwakilisha mawazo yao peke yao kama ya waislam. Naomba mwenye data anipe kuwa ni nani au chombo gani [Bakwata, baraza etc] kinachosimamia Annur.
Kwa maneno mengine ni jarida ambalo linajitambulisha kama gazeti la kiislam lakini hakuna ridhaa ya waislam kama society kuwa Annur ni gazeti lao. Kw mantiki hiyo maoni ya Annur si uwakilishi wa waislam kwa sababu halitolewi na chombo chochote kile kinachojulikana kisheria. Ninafaham waislam wengi tu wanaokerwa na Annur ''in a way''. Kwahiyo tusiyachukulie maoni ya watu wachache kama maoni ya society yote hadi pale tutakapopata uthibitisho kuwa gazeti ni mali ya mamlaka halali inayotambulika kisheria,hata kama litamilikiwa na kundi X basi ni kundi hilo litakalowakilishwa na sio waislam wote!!!
Kuhusu ushabiki kwa CUF, ni jarida na watu hao hao wanaweza kuwa na malengo yao ya kisiasa, lakini kwa ufinyu wa kuelewa, hata CUF wanapata wakati mgumu sana kwasababu kwa nchi kama tz ukigombea kwa gia ya udini basi wewe ni msindikizaji. CUF wanafaham, lakini Annur si organization ni watu wachache. Lakini ukweli ni kuwa politically Annur destructs CUF startegically! period!
Mwisho, gazeti la uhuru likiandika jambo ni kauli ya CCM maana linasimamiwa na CCM. Lakini gazeti la Tanzania Daima likitoa kauli si kauli ya Chadema maana si gazeti la chama ingawa mrengo wake ni chadema. Hata msemakweli au kiongozi bado nikisoma habari zake nitahitaji kuthibitisha kama ni Kauli za Kanisa au maoni ya mhariri. Tufungue macho na kuangalia kwa upana na si emotion. Askofu anayeendeshagari la kanisa akigonga mtu anakuwa ni dereva ambaye pia ni askofu aliyeendesha gari, linalomilikiwa na kanisa. Hii haina maana kanisa limegonga mtu! hadi pale kanisa litakapothibitisha kuwa lilimtuma askofu. Kwa mantiki hiyo Annur ni gazeti linaloandika habari za kiislam na limeegemea upande wa siasa za CUF! haina maana kuwa Waislam wamellituma gazeti la Annur kuandika habari za CUF, hadi pale ''Only and Only if'' Waislam kwa ujumla wao watathibitisha kuwa wamefanya hivyo.
Honestly, I hate to write about religion or any spiritual ideology, however I'm compelled to, because some of JF members are driven by emotion and not facts. I believe that believers and none all are entitled to respect not because of their faith, but as human. I call upon, the JF members who are fanatics, ignoble, ignorant and libertine, not to embarass the forum because they are ''superior atheist, Christian, Islam, Jews, sikh or Hindu''. Keep your faith alone!

Nguruvi3,

..ukiona umelazimika kutumia maneno mengi kuelezea jambo jepesi kama hili ujue kuna matatizo katika hoja unayojenga.

..kwa mtizamo wangu, Waislamu walio wengi waogopa hili kundi la waandishi wa An-Nuur ambao wamejitwalia madaraka ya "kuwasemea" Waislamu wa Tanzania.

..vilevile nadhani kuna unafiki ktk taasisi za Waislamu kama Bakwata, Warsha, etc kuachia dini yao inachafuliwa na kundi la waandishi kama hawa An-Nuur.

NB:

..nikumbushe ile sakata ya muumini aliyehukumiwa kifungo kwa kutamka kwamba Yesu si Mungu. Waislamu walicharuka na kuwa wakali kama pilipili. sasa hujiulizi kwanini Waislamu wanakaa kimya wakati kuna kikundi kinachafua hali ya kisiasa na mahusiano ya jamii kwa kutumia jina la Waislamu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom