Ahsante mno,saivi sitaki niwe mtumwa wa hizi Hadithi.
Sana hata mimi sianzagi kusoma mapema. Kama hii sijaisoma mpaka isogee sana.Ahsante mno,saivi sitaki niwe mtumwa wa hizi Hadithi.
Nimeapa nikimaliza ya poker,jack Daniel na bm X6 Basi sisomi Tena Hadithi humu Tena yaani never happen Mana Naona Ni uraibu wa kujitafutia
Yes,labda iishe ndio uanze. Poker alikuwa na story nzuri sema akasepa akaacha watu wanaliaSana hata mimi sianzagi kusoma mapema. Kama hii sijaisoma mpaka isogee sana.
Uraibu wa simulizi ni mbaya sana, nimeelewa sasa ndiyo maana watu wanakuwa wakali, ikichelewa 😅😅😅😅😅
Shukrani habibity😘
Mwamba huyu hapa kaingia
Dooo mwendo wa story tu
Ndo mwenyewe kwenye Moja na mbili!!☺️Umughaka tena
Doooo ngoja ntulie nsomeNdo mwenyewe kwenye Moja na mbili!!☺️
Nimekuja mamy
Asante arosto itushughulikie