Mr. Tanganyika
Member
- Nov 13, 2010
- 91
- 7
Tumeanza katika uspika, tutawapata wapi akina mama wa kushika nyadhifa zifuatazo....
1. Jaji mkuu
2. IGP
3. Mkuu wa majeshi
4. Mwenyekiti NEC
5. Gavana wa BoT
6. Mkurugenzi - Usalama wa taifa
7. Mkurugenzi wa TAKUKURU
8. Katibu mkuu kiongozi
na wengine wengi.........
"Suala la kuwa spika lilikuwa katika ratiba ya maisha yangu" na siyo "Mimi ndiye mtu sahihi wa kuwa spika wenu"
Akina mama oyeeeeeeeeeee!
1. Jaji mkuu
2. IGP
3. Mkuu wa majeshi
4. Mwenyekiti NEC
5. Gavana wa BoT
6. Mkurugenzi - Usalama wa taifa
7. Mkurugenzi wa TAKUKURU
8. Katibu mkuu kiongozi
na wengine wengi.........
"Suala la kuwa spika lilikuwa katika ratiba ya maisha yangu" na siyo "Mimi ndiye mtu sahihi wa kuwa spika wenu"
Akina mama oyeeeeeeeeeee!