Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Mimi huwa nawapisha lakini nakereka sana.
Kama unaona gari imejaa na una kitumbo kwanini upande?
Au vibabu na vibibi navyo si vitulie majumbani.
Mwingine anapanda na watoto kibao. Nao wajitazame.
Umpishe mwenzio wewe uminywe jamani.
Tunapendana ila tunaanza kuzipenda nafsi zetu kwanza.
Kama unaona gari imejaa na una kitumbo kwanini upande?
Au vibabu na vibibi navyo si vitulie majumbani.
Mwingine anapanda na watoto kibao. Nao wajitazame.
Umpishe mwenzio wewe uminywe jamani.
Tunapendana ila tunaanza kuzipenda nafsi zetu kwanza.