Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Kwa nn akina mama mpo hivi?
Unakuta kwenye daladala mama amepanda ana mtoto mchanga seat za karibu kuna akina mama utakuta wameuchunaaaaaaa kumwachia seat au kumpokea mtoto kimyaaaaa mpaka sisi wababa nyumba tusimame kumpisha akina mama kwa nn mna roho mbaya jamani??
Hata kwa wajawazito huwa mnafanya hivi hivi. Kwa nn jamani?
Hata bar ukienda na mwanamke tu kosa huduma unapata mbovu kwa nn akina mama hivyo?
Unakuta kwenye daladala mama amepanda ana mtoto mchanga seat za karibu kuna akina mama utakuta wameuchunaaaaaaa kumwachia seat au kumpokea mtoto kimyaaaaa mpaka sisi wababa nyumba tusimame kumpisha akina mama kwa nn mna roho mbaya jamani??
Hata kwa wajawazito huwa mnafanya hivi hivi. Kwa nn jamani?
Hata bar ukienda na mwanamke tu kosa huduma unapata mbovu kwa nn akina mama hivyo?