tracy wa NJIRO
Member
- Feb 14, 2012
- 71
- 8
nasema hiviiiiiiiikesho nafly to dar kuwatetea
hili lijamaa ni libinafsi ajabu! bila shaka ni li kada la ccmHata wakienda jela hakuna mwananchi atakayeonyesha hasira labda wewe na wenzio wa hapo kinondoni, watu waache kula bata na familia zao eti waonyeshe hasira kuwatetea wanaharakati? who are they katika nchi hii bana, ni waganga njaa tu hao
Ama kweli CCM inatudharau sana,kutuumiza ituumize tukijitetea ndio kabisaaa,inatutwanga virungu mpaka basi sasa kosa la hao Mashujaa ni lipi?kuwatetea wanyonge ndio kosa?Inaudhi sana hii tabia yao.