MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Ni kweli inakera sana Elli (Kumbujka pia kuna wanaume ambao wanakuacha kwa kukuona hufai, ukiolewa na mwingine na kupendeza anaomba kukumbushia!)
Lakini Elli mpaka amefikia hatua ya kukusumbua namna hii, kuna some positive signs ulizokuwa unamwonyesha! What if baada ya kusikia ameolewa na alipokupigia na kukueleza nia yake hiyo chafu usimdelete kabisa? why unapokea simu zake? why unajibu sms? why usimpotezee au hata kuchukua hatua ya kumweleza mumewe kama anakukera kiasi hicho??
Lakini Elli mpaka amefikia hatua ya kukusumbua namna hii, kuna some positive signs ulizokuwa unamwonyesha! What if baada ya kusikia ameolewa na alipokupigia na kukueleza nia yake hiyo chafu usimdelete kabisa? why unapokea simu zake? why unajibu sms? why usimpotezee au hata kuchukua hatua ya kumweleza mumewe kama anakukera kiasi hicho??