Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,035
Sina tabia wala mazoea ya kuanzisha thread za mahusiano lakini kwa hili hapana; Mimi kama Mwanamme ambaye nitabaki kuwa mkweli kwa kuwa kweli hukuweka HURU, nasema hivi; tangu kubalehe hadi sasa ni kweli tupu kuwa nimeshakuwa na mahusiano na baadhi ya wanawake ( number doesnt matter).
Wapo ambao tulipendana kwa dhati ila kwa sababu ya mambo mbalimbali ilibidi relation zetu zi-break. Wapo ambao waliniacha bila sababu za msingi ( kwa upande wangu), wapo ambao kwa sababu kipindi kile tulikuwa labda "watoto" ( maana watoto hawafanyi) basi hao nao tuli-break ila kuna hawa ambao tuliachana kwa amani sana. Tulipatana kuwa sasa imetosha, nao pia nawashukuru sana ( usikimbilie kujumlisha idadi p utapotosha somo).
Nachukua nafasi hii kwa uchungu sana kwa wale akina dada wenye tabia za kuwaacha wanaume bila sababu na when things turns out worse wanaanza kukusumbua. Wamekua wakinisumbua sana ila sasa huyu wa juzi aliniiacha miaka kama kumi iliopita kwasababu nilimwambia asubiri nimalize kale ka-degree kangu, akaona anachelewa sasa eti ananisumbua na sms na simu kila saa kuwa bado anani-feel sana!!
Jana nikamtumia sms kuwa, yeye ameolewa, ana mume na watoto wawili, namheshimu mumewe na pia naiheshimu ndoa yao lakini pia nisingependa nijiingize kwenye mahusiano ambayo si sahihi ukizingatia na mimi sasa niko na my wife.....analalamika na kuniomba nikutane naye japo mara moja. Nimeamua ku-generalize kuwa labda ni akina dada wote ( including my wife maybe) kwa sababu huyu si wa kwanza wala awa pili na hata pia the same stories nimeshazisikia kwa marafiki zangu.
Hivyo nasema kwamba, kwa akina kaka na akina dada hasa akina dada, hebu tuache hizi tabia chafu tutunze ndoa na watoto wetu, ngono hazina mwisho, mimi ni sawa na huyo ulienae tuuuu, tuacheni tamaa tumrudie MUUMBA. Sorry kama nitawakera baadhi yenu.
Wapo ambao tulipendana kwa dhati ila kwa sababu ya mambo mbalimbali ilibidi relation zetu zi-break. Wapo ambao waliniacha bila sababu za msingi ( kwa upande wangu), wapo ambao kwa sababu kipindi kile tulikuwa labda "watoto" ( maana watoto hawafanyi) basi hao nao tuli-break ila kuna hawa ambao tuliachana kwa amani sana. Tulipatana kuwa sasa imetosha, nao pia nawashukuru sana ( usikimbilie kujumlisha idadi p utapotosha somo).
Nachukua nafasi hii kwa uchungu sana kwa wale akina dada wenye tabia za kuwaacha wanaume bila sababu na when things turns out worse wanaanza kukusumbua. Wamekua wakinisumbua sana ila sasa huyu wa juzi aliniiacha miaka kama kumi iliopita kwasababu nilimwambia asubiri nimalize kale ka-degree kangu, akaona anachelewa sasa eti ananisumbua na sms na simu kila saa kuwa bado anani-feel sana!!
Jana nikamtumia sms kuwa, yeye ameolewa, ana mume na watoto wawili, namheshimu mumewe na pia naiheshimu ndoa yao lakini pia nisingependa nijiingize kwenye mahusiano ambayo si sahihi ukizingatia na mimi sasa niko na my wife.....analalamika na kuniomba nikutane naye japo mara moja. Nimeamua ku-generalize kuwa labda ni akina dada wote ( including my wife maybe) kwa sababu huyu si wa kwanza wala awa pili na hata pia the same stories nimeshazisikia kwa marafiki zangu.
Hivyo nasema kwamba, kwa akina kaka na akina dada hasa akina dada, hebu tuache hizi tabia chafu tutunze ndoa na watoto wetu, ngono hazina mwisho, mimi ni sawa na huyo ulienae tuuuu, tuacheni tamaa tumrudie MUUMBA. Sorry kama nitawakera baadhi yenu.