Akina dada piteni hapa hii inawahusu

Akina dada piteni hapa hii inawahusu

RABISHHHHHHHH! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed DID YOU EVER TAKE TIME TO PERUZ HISTORY OF A WOMAN.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
DO YOU THINK WE WILL GIVE UP OUR LONG FOUGHT WITH BLOOD AND SWEAT CHANCE TO BREATH.? Hell no! IFIKE MAHALI WANAUME MUONE YATOSHA MABABU ZENU WALIFAIDI KWA NIABA ZENU!

Haya mapenzi mmoja anakula mwingine anakonda lakini bado mnapenda, mimi siyaelewi.
 
RABISHHHHHHHH! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed DID YOU EVER TAKE TIME TO PERUZ HISTORY OF A WOMAN.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
DO YOU THINK WE WILL GIVE UP OUR LONG FOUGHT WITH BLOOD AND SWEAT CHANCE TO BREATH.? Hell no! IFIKE MAHALI WANAUME MUONE YATOSHA MABABU ZENU WALIFAIDI KWA NIABA ZENU!

Umeongea kwa uchungu sana, msijali tutawapa tu
 
.......natamani nje fikia level za beyonce hivi,Jay buys me a plane i buy him a yatch.....habibty atakuwa na raha sana bila shaka...#loooh hv hata BOxer bm 150 sinaaaa....
 
kwani tunawashikia bastola,si mnazitoa wenyewe,tena saa zingine mnataka kujionyesha mnazo,eti baby hii simu haikufai kabisa ntakuletea nyiingine
 
kwani tunawashikia bastola,si mnazitoa wenyewe,tena saa zingine mnataka kujionyesha mnazo,eti baby hii simu haikufai kabisa ntakuletea nyiingine

dont generalise dear
 
.......natamani nje fikia level za beyonce hivi,Jay buys me a plane i buy him a yatch.....habibty atakuwa na raha sana bila shaka...#loooh hv hata BOxer bm 150 sinaaaa....
waiting for that day...naamnza kutafuta form za membership Yatch club ...
 
Mwanaume wa ukweli lazma ajue majukumu yake vinginevyo wanaojua dhamani ya mwanamke wanakubebea unabaki kulia na mto kitandani
 
na mtaumwa sana ndio nyie nyie ambao mnaokaa kuombaomba pesa kwa majimama wawatunze
 
Kama hata pesa ya chips dume ni ngumu kupata, hata kumnunulia rafiki yako soda (achana na GF) itakuwa mtihani...tena wa kutishia uhai!

Bishara ya ngono ina gharama kubwa sana mdogo wangu. Kama huwezi kuimudu basi njoo kwa babu akupe maujanja ya kupotezea kwa kutembelea mitaa ya viwango vyako!

Babu DC!!
 
RABISHHHHHHHH! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed DID YOU EVER TAKE TIME TO PERUZ HISTORY OF A WOMAN.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
DO YOU THINK WE WILL GIVE UP OUR LONG FOUGHT WITH BLOOD AND SWEAT CHANCE TO BREATH.? Hell no! IFIKE MAHALI WANAUME MUONE YATOSHA MABABU ZENU WALIFAIDI KWA NIABA ZENU!

Hahahahah.....walah umetisha.!
 
Back
Top Bottom