Akina dada piteni hapa hii inawahusu

Akina dada piteni hapa hii inawahusu

mie mnachoniuzigi kimoja tuu...mbona mkipewa hela hamtoagi tigo zenu?

mmhhhh hayo mazito sasa,wapenda 0713 nahisi wanatatizo la kiakili kwa kwel na mwanaume akiniomba huo mtandao wala sifikiri mara mbili ni kuachana nae tu coz anaweza hata kukushika kwa nguvu ili atimize haja yake
 
rabishhhhhhhh! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed did you ever take time to peruz history of a woman.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
Do you think we will give up our long fought with blood and sweat chance to breath.? Hell no! Ifike mahali wanaume muone yatosha mababu zenu walifaidi kwa niaba zenu!
dada samahani kuna uwezekano mkubwa kama si wewe basi katika uzao wa kwenu mlijeruhiwa sana na ndo maana una chuki na madume
 
mmhhhh hayo mazito sasa,wapenda 0713 nahisi wanatatizo la kiakili kwa kwel na mwanaume akiniomba huo mtandao wala sifikiri mara mbili ni kuachana nae tu coz anaweza hata kukushika kwa nguvu ili atimize haja yake

hahaha ila kweli usitoe tigo utadharaulika tuu
 
  • Thanks
Reactions: lin
ukimpata wa kumhonga majani ya mwembe akabaki ndo sais yako jisevie
 
Bado upo teenager ukiwa mwanaume utakuwa unazitoa bila kulalama!!!!
Tena huwa zinatuwasha tunawatafuta sisi wenyewe. Mwanaume utaachaje kuhinga wakati wewe ni mwanaume. Wanaume mnaowaza kuhongwa mna matatizo ya ziada, na ndio maana makaka poa wameongezeka siku hizi. Mwanaume lazima ujitofautishe na mwanamke kwa kuwa provider.
 
dada samahani kuna uwezekano mkubwa kama si wewe basi katika uzao wa kwenu mlijeruhiwa sana na ndo maana una chuki na madume
Inawezekana, ingawa siamini hivyo. Yapo mambo mengi sana mimi huwa nawasupport wanawake kwa sababu ya mfumo. Hebu nyie wanaume wenzangu kumbukeni mlipokuwa wadogo na kushuhudia mama enu wanavyofanyiw na mababa zetu, hivi mlikuwa mnafurahia. Mimi mama yangu alipata shid sana kwa sababu alipigania tusome huku baba akiw hataki. Namshukuru sana huyu mama, maana kila nilichonacho bila yeye Mungu wa dunia ningekuwa wpi sijui. Lazima tuwaheshimu mama zetu na tuache kuwanyanyasa bila sababu za msingi
 
RABISHHHHHHHH! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed DID YOU EVER TAKE TIME TO PERUZ HISTORY OF A WOMAN.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
DO YOU THINK WE WILL GIVE UP OUR LONG FOUGHT WITH BLOOD AND SWEAT CHANCE TO BREATH.? Hell no! IFIKE MAHALI WANAUME MUONE YATOSHA MABABU ZENU WALIFAIDI KWA NIABA ZENU!
Kama mapenzi ni kwa wote, na kama wapenzi wote wawili mna enjoy penzi, kuna haja gani kwa mmoja kujipendekeza kwa mwenzake kwa kumpa mazawadi makubwa makubwa? mi nadhani kuna haja ya kuwepo usawa kwa hili pia. kila mmoja ajisikie kumpa mwenza wake zawadi yoyote nzuri anayojisikia kumpa, isiwe kwa upande mmoja.
 
RABISHHHHHHHH! Hivi wewe usione tunawachuna kwa speed DID YOU EVER TAKE TIME TO PERUZ HISTORY OF A WOMAN.?
Hata tuwachune kiasi gani haitoshi kulipia damage tuliofanyiwa wanawake century n century. Fikiria wanawake hawahesabiwi zamani ila vitoto vya kiume vidogo ndo vinahesabiwa kama watu!? Mxiuuuuu! Mwanamke hana kauli, hana maamuzi hata aolewe na nani. Mwanamke haendi shule, hafanyi chochote anashinda jikoni tu!
DO YOU THINK WE WILL GIVE UP OUR LONG FOUGHT WITH BLOOD AND SWEAT CHANCE TO BREATH.? Hell no! IFIKE MAHALI WANAUME MUONE YATOSHA MABABU ZENU WALIFAIDI KWA NIABA ZENU!

Hata kupiga kura walikuwa hawaruhusiwi achilia mbali kupigiwa kura. Kwa wakristu wanawake hawakuruhusiwa kuwa makasisi, wachungaji wala maaskofu japo wao ndiyo waumini waaminifu kabisa kanisani na kwenye jamii. Angalau walutheri na waangalikana sasa wameruhusu wanawake kuwa wachungaji na Canterbury (Aglican, England) sasa wameruhusu wanawake kushika nafasi za uaskofu hata askofu mkuu. Hii ni breakthrough kwa mama zetu kiroho na kisiasa.
 
heheheeeee mmetisha andamaneni bas usipotoa wenzio wanatoa

Ha ha ha ha. Ila kwa sababu kwenye chama wapo watakao jiunga na ambao hawata jiunga.sasa waleeee watakao jiunga wamejpeleka danger zone wenyeweeee
 
Back
Top Bottom