Masharti yamekushinda mgiriki subiri wa type yako tena atakuwa na miaka 25 ana watoto 3 na alishaolewa akaachika na kila mtt ana baba yake nadhani utaelewana nae huyo dada wa ivyo.
well it's no problem you thinking that a "girl at age of 30" without marriage implies that she was misbehaving it's your own free thinking
haahahha...kwikwikwikwi.......jamanieeee, mbavu zangu, huu uzi nauprint nikaubandike geto...dah. mgirik we acha , mimi nilimbiwa niende jim kwanza eti angalau niwe na tumisuli kidogo. Dah Mateso haya
kuishi utaishi lakn heshma inapungua. Ndoa ina raha yake bhana
Ha ha ha vigezo na mashart kuzingatiwa
damaged goods and high price....lol
Hapana, sijafikiria kuwa katika umri wa 30yrs mdada alikuwa na tabia mbaya ndio maana hajaolewa..zipo sababu nyingi tu kwa nini at 30yrs bado hajaolewa....by the way, at 30yrs she's no longer a girl.. but rather a woman...!
Nadhani umeshamjua sasa.hebu tuweke wazi nani huyo?
Kuna maisha mazuri na matamu kuliko hiyo ndoa mfyuuuuuuuuu...... eti kisa na miaka 30 ndiyo nichukue makapi nani kasema lazima ukidhi vigezo na mashart nyooooooo..... 30 mtuache eti ndoa ... ndoa zenyewe mnaziweza peleka huko pumbafu kabisa
How is monile for every body: Leo nmeona niwape vipande vyao hawa akina dada kuanzia umri wa miaka 30 na kuendelea ambao bado hawajaolewa, utakuta mdada mtu mzma kabisa ana umri wa miaka zaidi ya 30 anatafuta wanaume wa kumuoa kwa kuweka mashart lukuki tena magumu.
Mara nataka mwanaume handsome,mcha Mungu, mwenye elim ya degree, awe ameajiliwa au anabiashara.
Nabaki kuwashangaa sana nyiyi viumbe, unataka mwanaume mcha Mungu je ww ni mcha mungu? Ungekuwa na tabia nzuri ungefikisha umri huo ukiwa nyumban? Tambua kuwa kitendo cha kufikisha miaka 30 nyumban na huna mume maana yake tabia yako ni chafu hauna hadhi ya kuitwa mama mwenye nyumba au mke wa flan ila hadhi yako ni funuliwa funikwa. Unataka mwanaume handsome ww ni handsome? Kitendo cha ww kuzeekea nyumban maana yake ww ni mbaya huna mvuto wa sura wala tabia ila utakuwa wa kumalizia haja tu kwa wapita njia. Wazuri wote wapo kwenye ndoa zao. Utakuta mwingne alizalia nyumban halafu anakuja naye na sifa zake et nataka mwanaume mnyenyekevu na ambaye hajawai kuoa nyambaaafu ww umezalia nyumban halafu leo unataka mwanaume ambaye hajawahi kuoa for what?
Mm nawaambia msijidanganye hata kidogo, mkitaka masharti hayo mtaishia kufunuliwa tu mpaka akili ziwakae sawa.
KWAHERINI
hebu tuweke wazi nani huyo?
Ahahaha! nadhani mmeshamjua.Ha ha wew mtu uliwaza kam mie cjui kapita hapa au hapo
Kuna maisha mazuri na matamu kuliko hiyo ndoa mfyuuuuuuuuu...... eti kisa na miaka 30 ndiyo nichukue makapi nani kasema lazima ukidhi vigezo na mashart nyooooooo..... 30 mtuache eti ndoa ... ndoa zenyewe mnaziweza peleka huko pumbafu kabisa
owhhhh! Hahahhahaaaaa! Mkuu sasa hyo unanitakia laana hebu futa kauli hyo mkuu
Ahahaha! nadhani mmeshamjua.