Akina dada mpunguze kuomba omba

Akina dada mpunguze kuomba omba

Konda wa bodaboda

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2014
Posts
7,981
Reaction score
4,172
Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko. Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri!

Unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?

Acheni hiyo tabia.
 
Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko.
Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri! unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?
Acheni hiyo tabia.
Hahahahaaaaa, ID yako imenichekesha kweli dah! JF is really a place to be when you are bored!
 
Ingekuwa vizuri hili darasa ungewapa hao wanaokuomba omba ungekuwa umewasaidia sana.
 
labda 2kuulze mkuu! kwan ww umewasaidia wangap waliokuomba. nakwann akuombe ww na sio mwenzako? sawa wapo ila hata cc 2najrahc mno! 2natoa co kwa kumsaidia unakuta baada ya kumsaidia unataka namba ya cm ya nn?
 
Habari za asubuhi wana MMU. Nimeona nitoe darasa kidogo kwa baadhi ya akina dada wanaopenda vya mteremko.
Ni hivi; kuna wadada(baadhi ila ni wengi wao) wanapenda kuombaomba pesa kwa watu wasiowafahamu vizuri! unakuta anafanya kama anatania kumbe ndio hivyo tena. Hii huwa inanitokea sana, huwa nashangaa mtu sina ukaribu nae wowote anakuja kuniambia nimpe hela akale chips wakati mimi mwenyewe napiga miayo tu, huwa najiuliza hivi hawajui kuwa wengi wetu pesa ni tatizo?
Acheni hiyo tabia.
Na wewe mnyime kama unatania tania hivi, hapo mtakuwa mmefika kwenye equilibrium..
 
labda 2kuulze mkuu! kwan ww umewasaidia wangap waliokuomba. nakwann akuombe ww na sio mwenzako? sawa wapo ila hata cc 2najrahc mno! 2natoa co kwa kumsaidia unakuta baada ya kumsaidia unataka namba ya cm ya nn?

Mtu anajua hana hela kila siku saloon kufanya nini? sia kila shida ni ya kusaidiwa.
 
Acha ubahili...sisi wanawake ni mapambo ya dunia.
.....mtupendezeshe
 
Ingekuwa vizuri hili darasa ungewapa hao wanaokuomba omba ungekuwa umewasaidia sana.

hajaeleza mazingira ya kuombwa je alimtongoza au. na kama alimtongoza ina maana anataka FREE P
cc lara 1
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom