mkuu mi nilikua na wife kwenye harusi basi tabu tupu mara wanikonyeze mara wanilegezee mimacho.
ikabidi tuondoke mapema
ila wale walikua friends wa bibi harusi who happens to be my relative
Hivi huwa inawaboa au inawafurahisha?
Mbona mnatumbuaga macho kama wanawakwaza.
:mullet::mullet::mullet::mullet::mullet:Wajameni, last week-end nilihudhuria harusi moja hivi, nilipo fika ukumbini, nilikutana na wanadada takribani wote wamevalia vinguo vya utatanishi!!!? Wengi wao walivaa nguo za kubana sana na trasparency yaani zinaonyesha kufuli zao zilipo anzia hadi zilipoishia, na wale waliovaa chachandu nazo zilikuwa zinaonekana wazi wazi! Ilipo fika wakati wa kujimwaga, wakawa wanashindani kukata mauno mbele ya wanaume, huku wakiinama wakiwa wanajua kabisa kuwa wamevaa vimini tena vya hatari!
Wadada lengo lenu hasa ninini hapo? Kuwatamanisha wanaume? Kuonyesha kwamba mnajua kukata mauno??????????????:mullet::mullet::mullet::mullet:
Wanaonyesha walivyojaliwa na maujuzi ya kukata kiuno ili mkamatike!
:mullet::mullet::mullet::mullet::mullet:Wajameni, last week-end nilihudhuria harusi moja hivi, nilipo fika ukumbini, nilikutana na wanadada takribani wote wamevalia vinguo vya utatanishi!!!? Wengi wao walivaa nguo za kubana sana na trasparency yaani zinaonyesha kufuli zao zilipo anzia hadi zilipoishia, na wale waliovaa chachandu nazo zilikuwa zinaonekana wazi wazi! Ilipo fika wakati wa kujimwaga, wakawa wanashindani kukata mauno mbele ya wanaume, huku wakiinama wakiwa wanajua kabisa kuwa wamevaa vimini tena vya hatari!
Wadada lengo lenu hasa ninini hapo? Kuwatamanisha wanaume? Kuonyesha kwamba mnajua kukata mauno??????????????:mullet::mullet::mullet::mullet:
Sasa unataka tuwe vipofu Husniyo?
Sio siri wakati mwingine hao wanawake huwa wanaboa sana, si kila kitu kizuri
Inawezekana mywife wako alichukizwa, au aliona wivu lol
Joto wapi mshiki...hata kukiwa na viyoyozi!
mkuu mi nilikua na wife kwenye harusi basi tabu tupu mara wanikonyeze mara wanilegezee mimacho.
ikabidi tuondoke mapema
ila wale walikua friends wa bibi harusi who happens to be my relative
wanaudhi ningekua sijaoa wangenikoma
Ndo maana naungisha mkono kiaina wenye harusi na sitaki kadi....Full stop.:wink2::mullet::mullet::mullet::mullet::mullet:Wajameni, last week-end nilihudhuria harusi moja hivi, nilipo fika ukumbini, nilikutana na wanadada takribani wote wamevalia vinguo vya utatanishi!!!? Wengi wao walivaa nguo za kubana sana na trasparency yaani zinaonyesha kufuli zao zilipo anzia hadi zilipoishia, na wale waliovaa chachandu nazo zilikuwa zinaonekana wazi wazi! Ilipo fika wakati wa kujimwaga, wakawa wanashindani kukata mauno mbele ya wanaume, huku wakiinama wakiwa wanajua kabisa kuwa wamevaa vimini tena vya hatari!
Wadada lengo lenu hasa ninini hapo? Kuwatamanisha wanaume? Kuonyesha kwamba mnajua kukata mauno??????????????:mullet::mullet::mullet::mullet: