Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
tunajitahidi kuyashinda majaribu
yaani, mi huwa nawaonea huruma sana.
hayo mambo huwa hayaishii huko kwenye maharusi tu.
siku hizi ukipita mitaa ya vyuo utashangaa kuona vinguo ambavyo wadada wanaingia navyo darasani. Mi huwa najiuliza, hawa ndugu wanaenda darasa, beach, party, disco....................? yaani hawaeleweki. hasa kama somo anafundisha mwalimu kijana...........