data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,149
- 22,724
Tabia ya wewe unapokua faragha na mwenzi wako.. either mmepumzika chumbani....mmetoka out. may be fo lunch... au matembezi tu ya kawaida.. Alafu wewe watumia muda huo kuanza leta habari za Bosi wako kazini,,,..mara Oooohhh...bosi kanialika ktk b day ya wife wake, Leo Bosi kanipongeza kwa uchapa kazi wangu, etc etc.. waleta visifa vya ajbu ajabu vya bosi wako kwa mpenzio... Please Stop.. Waerevu wamenielewa