Akili za wanawake...

Naona hii mada watu wameipokea kwa mtazamo tofauti iko hivi.

Vazi na tabia ni vitu viwili tofauti.

Waafrika na waarabu tumekakarishwa ya kwamba mwanamke wa kiarabu au mwafrika lazima avae vizuri na kujisitiri mwili wake.

Ni kweli sikatai hata vitabu vya dini vimeeleza jamii ya mwanamke kuvaa vyema na si mwanamke tu hata mwanaume avae vyema.

ukija kwenye uhalisia wa maisha kwa maoni yangu naona kila mtu avae nguo anayo jisikia kuvaa kwani hulazimishwi na mtu hakupangii si mwanamke wala si mwanaume bali ni wote kwa ujumla.

Maisha ya kufuatilia sijui mwanamke kavaa hiki na mwanaume kavaa hiki kila mtu na mambo yake lazima mjifunze kuishi hivyo.

Vazi halimfanyi mwanamke / mwanaume kuoa / kuolewa, bali ni tabia, mienendo, makubaliano, Upendo, thamani, n.k

Think positive and be a great thinker.
 
Kwa hii mind set yako na wewe tutamega tupite aisee....ladies lazima uwe wa heshima ukitembeza manyonyo nje nje unapigwa ndogo tu afu watu wanalala mbele


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama nitakuwa siajelewa vizuri basi ila mtoa uzi amesema anayejisitiri ataolewa na mtu aliye sirias na ndoa na anyeacha nyonyo na makalio nusu uchi anaweza asiolewe au ataolewa na mwanaume ambaye hayuko sirias na ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inamaana kuboost manyonyo nalo ni vazi mtaliwa na kutupwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaa mkuu mbona povu zito sana kwa dada zetu.
 
Mi nakubaliana na ulichosema kabisa,lakini jamani hizi za mada za wanawake mbona zimekuwa nyingi sana!? Utadhani duniani wanaishi pekee yao,siku moja moja jamani tupeni break tupumue!
Tatizo nyie kwa kuvaa hivyo mnaamsha tamaa ya ngono na si vinginevyo.
 
Wewe utakuwa miongoni mwao, lazima msemwe nyie ndio kioo cha jamii sasa mnatembeaje nusu uchi mbele za watoto kabisa mnajiachia eti kwenda na wakati oneni aibu basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…