SOCIETY'S FOCUS
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 424
- 490
Akili ya kuachwa inaweza kusababisha ukafanya kitu cha ajabu ambacho haujawahi kufikiria kukifanya hata cku moja...kuna watu hawakuijua pombe ila walikunywa kwasababu wameachwa.
Wengine wameharibu kazi za watu na kufukuzwa kwasababu ya hii akili.. hii akili kweli shida.
Kuna mtu anaamka cku hio anataka kuokoka na aanze kuhubiri injili kwasababu tu ameachwa.
Wakati mwingine hii akili ikikutaka ulipize kisasi utawaza utembee na marafiki wa x wako na hata ndugu zake pengine.. akili hii ni noma.
Kuna mda mtu anatamani kutafuta mtu quality kumzidi x wake ili amuumize, lakini kwa akili hii hata huyo quality hataweza kumpata kwasababu hajatulia...
Mtu mwingine anawaza saivi nitafute pesa nyingii ili nisije kuachwa kama hivi tena lakini mipango ya kutafuta pesa haipo hata kidogo...akili hii balaa.
Eti akili hii kuna mda mwingine inamwambia mtu jipende mwenyewe tu kwani kuna shida gani bhana.
Dah wengine wapo, sizitaki mbichi hizi, nalia na mengi mara paah mtu ameoa au ameolewa na mtu asiempenda, aisee ni noma.
Kuna matunda mengi yameliwa kimasihara kwasababu ya akili hii.
Je wewe akili hii ilisababisha ukafanya kitu gani ambacho kinakufanya ujute hadi leo????
Wengine wameharibu kazi za watu na kufukuzwa kwasababu ya hii akili.. hii akili kweli shida.
Kuna mtu anaamka cku hio anataka kuokoka na aanze kuhubiri injili kwasababu tu ameachwa.
Wakati mwingine hii akili ikikutaka ulipize kisasi utawaza utembee na marafiki wa x wako na hata ndugu zake pengine.. akili hii ni noma.
Kuna mda mtu anatamani kutafuta mtu quality kumzidi x wake ili amuumize, lakini kwa akili hii hata huyo quality hataweza kumpata kwasababu hajatulia...
Mtu mwingine anawaza saivi nitafute pesa nyingii ili nisije kuachwa kama hivi tena lakini mipango ya kutafuta pesa haipo hata kidogo...akili hii balaa.
Eti akili hii kuna mda mwingine inamwambia mtu jipende mwenyewe tu kwani kuna shida gani bhana.
Dah wengine wapo, sizitaki mbichi hizi, nalia na mengi mara paah mtu ameoa au ameolewa na mtu asiempenda, aisee ni noma.
Kuna matunda mengi yameliwa kimasihara kwasababu ya akili hii.
Je wewe akili hii ilisababisha ukafanya kitu gani ambacho kinakufanya ujute hadi leo????