Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,781
- 20,952
Wakuu habari zenu?
Ninaomba msada na muongozo kuhusu hili jambo. Mfano kuna account bank ambayo mhusika wake alishafiriki ila warithi wa marehemu wangependa account isifungwe na kisheria waruhusiwe kuisimamia kwa muda flani kwakuwa kuna miamala ya fedha (za kibiashara) ambayo bado inaingia kwenye hiyo account. Inawezekana?
Ninaomba msada na muongozo kuhusu hili jambo. Mfano kuna account bank ambayo mhusika wake alishafiriki ila warithi wa marehemu wangependa account isifungwe na kisheria waruhusiwe kuisimamia kwa muda flani kwakuwa kuna miamala ya fedha (za kibiashara) ambayo bado inaingia kwenye hiyo account. Inawezekana?