We si Ndondocha mkuu....wewe mimi unanijua?
Matusi yake ni ya mipasho si ya nguoni vileHapana sio kawaida yake yule dem kutoa matusi mfululizo, something is wrong
Sure, hata style ya uandishi si ya dizain ile.Matusi yake ni ya mipasho si ya nguoni vile
Ni upuuzi kufananisha! Kuna watu wana matuso lakini familia zao hazijui na wana heshimiwa sasa Mange ana followers ambao ni kaka zake wakuzaliwa naye na ndugu pia na mtoto wake mkubwa yupo kwenye social media piaNashangaa sana watu wansema eti.mange ana matusi hivi hayo.matusi hamtukanagi huko.mtaani?? Je hamyajui? Je siku mkitibuana na binadamu wenzenu je hamyatamki hayo??
Kwa asiyemfahamu Mange atahisi ni serikali lkn kwa anaye mfahamu vzr atajua kuwa ana maadui wengi sana tofauti na serikaliMkuu aliesema anamtafuta ni nani? Kuna kauli zinaongelewa na viongoz wetu kama watoto ujue yule akipata tatizo mtu wa kwanza kuhisiwa na serikali yetu kila uchwao wanamlilia tayar watu wanajua ana bifu kubwa na serikali.
Anatoa sana mkuu,kilaji kile sasa kupretend tena hawezi Bali anatoa na rohoni sasaHapana sio kawaida yake yule dem kutoa matusi mfululizo, something is wrong
Anayo matusi ya nguoni inawezekana hujawahi muoteaMatusi yake ni ya mipasho si ya nguoni vile
anha,,sawa nzr hyoWe si Ndondocha mkuu....
wewe mimi unanijua?
We si Ndondocha mkuu....
yamezidi yale ya yule mh mbunge wa lile jimbo kule kanda ya kati???Nashangaa sana watu wansema eti.mange ana matusi hivi hayo.matusi hamtukanagi huko.mtaani?? Je hamyajui? Je siku mkitibuana na binadamu wenzenu je hamyatamki hayo??
Account kuwa hucked nitofauti na kutekwa kwa mtu jamani anyway tusubiri jioni akiamka tutajua kalewa, au hacked
Me c mmbea ila napendaga habari zote ukiigemea politics peke yake uwiii utakufa na stress bora ukasome na mengine uchekeMmhhh
Kumbe na wewe mmbea,,!!
najua ili povu ulilolitoa anagekua kafanya same thing yule mtoto wa kariakoo lingegeuka Mchuzi.Ukiangalia trend ya wafriika kufikir kuwa karibu na msanii mkubwa wa usa ni kufanikiwa basi leo wiz kid na davido tungewaona kwenye bilboard top 100 za Usa acha hizo picha mkuu zisikupe iman bado sana wale jamaa wanatuchukulia sisi local tu Akon peke yake kafanikiwa Ay aliimba sana na kina sean kingston yupo wap? Wiz kid kafanya ngoma na drake hata top 100 haikuingia na drake yupo juu zaid ya ross
Hahah Mange kimambi mwanasiasa wa kujitegemea.Mambo vipi wapendwa. Napenda kuwapa tetesi zinazoabza kusambaa mtaani kuwa mange hajulikani alipo na account yake ya insta imedukuliwa na "watu wasiojulikana" hii ni baada ya kuanza kupost matusi na kuandika makorokocho kama mtoto anaeanza darasa la kwanza. Kuna video hapa inagoma ngojeni niiconvertSnitch
we jinga, upinzani una vikao halali vinavyotambuliwa na msajili. hayo ya mitandao siyo upinzaniKuna watu wana midomo jasiri kuliko ubongo,hivi ulishawahi kugombana na mtu ukimcheki mwili wake umeogopa lakini mdomo unatema cheche balaa.
Upinzani tumshauri huyu binti atukane serikali kivyake asiwe connected kabisa na siasa. Hebu assume binti yako anamrushia matusi mtu aliyegombana naye kwa interest zake binafsi halafu wewe umekaa pembeni unasikia, huyo anayetukanwa atakuchukuliaje.