JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Mtuhumiwa amekamatiwa Nzega Mkoani Tabora wakati wa oparesheni maalum.
Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, SACP Wilbroad Mutafungwa ameagiza kufunguliwa jalada la uchunguzi baada ya kupata malalamiko mengi kuhusu mtuhumiwa na akibainika anahusika atachukuliwa hatua za kisheria.
Chanzo: Azam TV