mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,260
Kama serious ni PM nikupe wazo
Hizo zinaitwa mbinu za malezi ukiwa na binti mwenye nyege zilizopita viwango vyote vya kawaida, inabidi umtafutie mtu mwelewa na utoe ruhusa ili akusaidie Mambo ambayo huwezi kumpa binti yakoDuh...!hii kali jamani!
Physics ipo kichwa kikubwa..kile kidogo haipo..Nadani ni stori tu hii maana mwalimu wa Physics kuzidiwa akili kijinga namna hiyo ni kitu kigumu sana.
Waswahili wanasema "Cha kulanda kinazidi" Mtoto kazidisha mautundu.Hizo zinaitwa mbinu za malezi ukiwa na binti mwenye nyege zilizopita viwango vyote vya kawaida, inabidi umtafutie mtu mwelewa na utoe ruhusa ili akusaidie Mambo ambayo huwezi kumpa binti yako
Makavu..!Umenikumbusha binti yangu ana nyege zilizopita viwango vyote vya kimataifa, mpaka nimemruhusu awe na mtu mmoja tu kwa sharti la kumwekea kitanzi ili asipate mimba na kila mwezi kupima ujauzito
Wanafunzi hambaki mwalimu!Acha tu kaka, asilimia 80% y'a mimba ya wanafunz kwakipind hiki cha 30 years tatizo ni wanafunz wnyw. Wasio jua wataona mwalimu ndo tatizo
Sio kwamba binti yangu ana makosa hapana, binti ameumbwa hivyo, yaani bila kufanya hivyo nilivyofanya nadhani asingemaliza chuo kikuu na Sasa hivi angekuwa analea watoto na pengine angekuwa na ukimwiWaswahili wanasema "Cha kulanda kinazidi" Mtoto kazidisha mautundu.
Mkuu bila kutafuta mbinu ya kumsaidia binti yangu angeharibikiwa siku nyingi sanaMakavu..!
Mkuu naona umeanza kueneza injiliNilianza kuamini ila aliposema "Wachawi wanamfukuza nikaona story hii
ni zaid ya hatari.Duh...!hii kali jamani!
ahahahah...naomba kufunga mjadala kwa comment hii.Physics ipo kichwa kikubwa..kile kidogo haipo..
Umeongea vizuri kaka,poleIlitakiwa sheria iwe na nguvu ya kuchambua mazingira ya tukio. Fikiria tu, mwanamke akipiga yowe kuwa unataka kumbaka (sio umembaka). Ukikamatwa na kesi ikaenda mahakamani kama huna jina, ndio umeenda na maji. Wanawake wamekuwa wakiitumia hii kama silaha (mimi ni muhanga wa hili japo mashuhuda waliwahi kunikingia kifua). Mimi ilikuwa sabbu ya chakula tu (food) sitasahau na tangia hapo, simuamini mwanamke yeyote zaidi ya mama, dada angu na mke wangu kwasasa. Hao wengine ni pasua kichwa tu. Sheria ifike mahala hasa kwa wanafunzi, iweke utaratibu wa aidha kumtafuta mtuhumiwa wa kweli katika kurubuni na kusababisha mimba au wote wawili waende jela. Sio mbinu nzuri ila angalau binti atajua kabisa akila chips za watu likatokea la kutokea na yeye analipa kwaaliyoyafanya. Kama nimewakwaza mnisamehe bure
katika andiko lako umejitahidi kujificha kuwa wewe siyo muhusika lakini ulipofika kwenye paragraph fulani ukajisahau na kuanza kujitaja jinis ulivyoenda mpaka kwa mwali. Umeanza Umalaya ukiwa mdogo sana nenda katubu UshimenNi mwanamke sasa, miaka 12 iliyopita akiwa kidato cha pili katika shule moja halmashauri ya Buchosa wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza.
Anasema akiwa kidato cha pili, alijikuta anampenda Mwalimu wake aliyekuwa anamfundisha somo la Physics
Anasema mwalimu huyo ambaye alikuwa ni kijana kati ya miaka 26 na 29 akitokea mkoani Kilimanjaro wala hakuwa na tabia za kuwatongoza wanawake wala wanafunzi, muda mwingi alikuwa anashindia majarubani na shughuli zake binafsi
Anasema "Akiwa hapo shuleni alijikuta anampenda mwalimu huyo bila sababu na alitumia mbinu kadha wa kadha kujitongoza kwa mwalimu huyo lakini mwalimu huyo hakuingia katika mtego pia alimtuma rafiki yake wake wa kike amwambie mwalimu anavyompenda"
Mwalimu huyo aliniita pembeni na kunikataza kuwa yeye hawezi kuwa na mahusiano na mwanafunzi akamsisitiza asome kwanza.
Licha ya kuniambia hivyo sikukata tamaa na kilichosababisha nisimuache kumfuatilia ni pale alipokuwa kila akija kufundisha darasani anamuita Rose, kila swali Rose jibu, kila kitu lazima atuambie Rose, nikawa nawaza huenda mwalimu ana mahusiano na Rose ndo maana ananikataa mimi, nikawa naumia sana
Siku moja niliaga nyumbani naenda part kwa mama mdogo, nilifika kwenye part ila wazo langu ni kwenda kulala kwa mwalimu usiku huo
Nilifika kwenye part lakini baada ya muda mchache,nilimuaga kaka yangu kuwa narudi nyumbani kulala
Niliondoka mpaka kwa mwalimu huyo ambaye alikuwa amepanga mtaani,nilifika kwa mwalimu nilibisha hodi, kwa muda mrefu huku nagonga mlango, ambapo mwalimu ilibidi amke afungue dirisha, kuangalia, akasema njoo huku dirishani, nikaenda dirishani, nikamwambia mwalimu, nifungulie kuna wachawi wananifukuza", Aliniuliza natoka wapi usiku huu?
Nilimwambia nifungulie nitakwambia, ndipo mwalimu alipofungua mlango nikaingia ndani, akanikaribisha ndani nikaingia nikakaa, akawa ananiuliza usiku ule natoka wapi? Nikamwambia natoka kusoma kwao Sarah ila wakati naenda nyumbani nimekutana na wachawi wamenifukuza "mwalimu akauniuliza kwa nini hukurudi kwao Sarah? Nikamwambia" walikuwa wanatokea kwao Sarah
Mwalimu akanambia, basi ngoja nikuache ulale humu ndani ili kesho uende nyumbani, mimi ngoja nikalale kwa mwalimu Peter" Nilikataaa nikamwambia siwezi kulala mwenyewe watanifuata wachawi." Akanambia ngoja nikupeleke nyumbani basi," Nikakataa kata kata "Wazazi wanaweza kukufikiria vibaya,na sasa hivi usiku sana kwetu ni mbali sana, acha tu mwalimu nilale
Mwalimu aliingia chumbani, akaniletea shuka nilale kwenye sofa, nikakubali, yeye akaenda kulala chumbani kwake, nililala kama dakika 20 hivi nikawaza nifanyeje nilale na mwalimu, nikaamka nikaenda chumbani kwa mwalimu na kumwambia" Kuna watu wananishika miguu,naogopa kulala mwenyewe, acha tu nilale na wewe mwalimu, naogopa sana"
Mwalimu alishindwa kunikatalia, tulilala kila mtu shuka lake, lakini nilipogundua mwalimu ameanza kusinzia niliweka shuka langu pembeni, nikavuta la kwake, nikamsogelea na kumkumbatia, mwalimu alishtuka akaniuliza Tatu kulikoni? Nikamwambia mwalimu nimeshindwa kuvumilia, utanikubalia tu na hali, nikavua nguo.......mwalimu akashindwa kunikatalia, ikabidi tu tufanye.
Licha ya mwalimu kuniambia iwe mwanzo na mwisho kufanya mambo hayo, kuwa amejutia kufanya kosa kubwa sana kufanya mapenzi na mwanafunzi wake" maneno hayo aliniambia kipindi anisindikiza alfajiri naenda nyumbani.
Baada ya miezi 5 nilifukuzwa shule kwa ujauzito, wazazi walinibana niwambie ujauzito nimeupata wapi,ilibidi niwambie ni mwalimu.
Kesi ikafunguliwa mahakamani, mwalimu akashtakiwa kwa ubakaji na mimba, akafungwa miaka 30 jela.
Nilitaka nimkane mwalimu ila wazazi na wanasiasa wakaingilia kati wakanitishia ikabidi nikubali
Tatu Limbe sasa yupo mtaani jijini Mwanza anatafuta vibarua ili mwanae ale na asome huku baba wa mtoto akiwa gerezani.
Anasema anajutia,mwalimu hakuwa na kosa, yeye ndiyo alikuwa na makosa.
Anataka kukata rufaa ili hukumu itenguliwe, je itawezekana?