Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,806
- 59,285
<p></p>
<p> </p>
jamani,wakati nimemuambia kakangu aingie jf ili akuanzie mbio?kuna siku ulikuwa unasema unataka wa kukubadilisha jina utumie lake,nikakuweka kwenye maombi na kumstua kakangu.i take u very serious bana,ngoja nimuambie akung'ang'anie,pm 12 kwa siku.
Hehehe!Haya mlete nimwone labda ntashawishika...ila akiwa king'ang'anizi najipiga ban ya maisha!