Ajira za walimu hewani ila ni kwa wale walimu wa sayansi pamoja na hesabu. Ndugu zangu na walimu wenzangu wa masomo ya sanaa hii hawamu ya tano hawatuhitaji.
Kama wewe ni mwalimu wa kiswahili, english, geography n.k hebu anza kutafakari nini hatima ya maisha yako, usikae ukapoteza muda kwakusubilia ajira. Tafuta namna nyingine yakukukwamua ktk maisha.
Kama wewe ni mwalimu wa kiswahili, english, geography n.k hebu anza kutafakari nini hatima ya maisha yako, usikae ukapoteza muda kwakusubilia ajira. Tafuta namna nyingine yakukukwamua ktk maisha.