emmanuel mbwilo
New Member
- Dec 24, 2013
- 1
- 0
Jamani nauliza, ajira za ualimu 2014 kwa anayejua kama zimetoka anijuze hapa.
Jamani nauliza, ajira za ualimu 2014 kwa anayejua kama zimetoka anijuze hapa.
Jaman taarifa mnatoa wapi??
Wengine wanasema ndy wako wanapanga na wengine wanasema tayari washapanga....then wizara ya elimu na tamisemi ni sehem gn wanahusika kupanga??
Jaman taarifa mnatoa wapi??
Wengine wanasema ndy wako wanapanga na wengine wanasema tayari washapanga....then wizara ya elimu na tamisemi ni sehem gn wanahusika kupanga??