Hakuna lolote!Wao hua wanampointi moja kwa moja mtu wanae mwitaji moja kwa moja
Na mara nyingi mtu huyo lazima awe kwenye taaluma fulani au ana kitu spesho!
Kuna la saba na form 4 kibao hukoHakuna lolote!
Kitu special gani walichonacho????


, TISS ni idara mnayoipaisha nyie tu raia lakini ni wa kawaida sana.Aiseeee nilijua vichwa tuu wapo huko na vetting inachukua hata miaka kumi wanayosema na kozi ni miaka miwili.Kuna la saba na form 4 kibao huko, TISS ni idara mnayoipaisha nyie tu raia lakini ni wa kawaida sana.
Wana watu wenye elimu tofauti tofautiAiseeee nilijua vichwa tuu wapo huko na vetting inachukua hata miaka kumi wanayosema na kozi ni miaka miwili.
Sasa unavyosema la saba na form four duu kudadekiiiiiiiii 😃 😀 😄
Unataka kusema hakuna wanaoingia kwaHuku nasikia wanapeana?
Ikiwa mzazi wako aliwahi kufanya huko?
Vipi ni pazuri kuzidi pccb au dcea katika salary?Wana watu wenye elimu tofauti tofauti
Majeshi ya ulinzi na usalama hutangaza nafasi za kazi kama taasisi nyingine. Mathalani Jeshi la polisi, JWTZ, Kikosi cha zimamoto, Uhamiaji, etc wamekua na kawaida ya kutangaza nafasi za mafunzo na hata ajira. Lakini sijawahi kuona tangazo la kazi kutoka TISS (Tanzania Intelligence Security Services) Wana utaratibu gani katika kutoa ajira?
Kuna la saba na form 4 kibao huko, TISS ni idara mnayoipaisha nyie tu raia lakini ni wa kawaida sana.
Mishahara ni kama scale za serikali kulingana na elimuVipi ni pazuri kuzidi pccb au dcea katika salary?
Naelewa kulingana na elimu.Mishahara ni kama scale za serikali kulingana na elimu
Sasa wa la7 analipwa ngapi?😂Mishahara ni kama scale za serikali kulingana na elimu
Kule wa la 7 anaanza 5MSasa wa la7 analipwa ngapi?😂
Daa nimecheka kifala Sana😂Kule wa la 7 anaanza 5M
Kutishana tena? hahahahaha 😃 😀
Watu wengi wanaotamani kuwa huko ndio hawa wakienda Sinza wakinywa bia mbili wanaanza kutukana watu na kujisifu "unajua mimi ni usalama, nitakupoteza?"