Ajira za TISS hutangazwa wapi?

Ajira za TISS hutangazwa wapi?

Kuna la saba na form 4 kibao huko[emoji23][emoji23][emoji23], TISS ni idara mnayoipaisha nyie tu raia lakini ni wa kawaida sana.
Aiseeee nilijua vichwa tuu wapo huko na vetting inachukua hata miaka kumi wanayosema na kozi ni miaka miwili.

Sasa unavyosema la saba na form four duu kudadekiiiiiiiii 😃 😀 😄
 
Majeshi ya ulinzi na usalama hutangaza nafasi za kazi kama taasisi nyingine. Mathalani Jeshi la polisi, JWTZ, Kikosi cha zimamoto, Uhamiaji, etc wamekua na kawaida ya kutangaza nafasi za mafunzo na hata ajira. Lakini sijawahi kuona tangazo la kazi kutoka TISS (Tanzania Intelligence Security Services) Wana utaratibu gani katika kutoa ajira?

Kutokana na unyeti, Huwa hawatangazi ila wanakuchagua wenyewe. How? hiyo ni siri ya kambi
 
Back
Top Bottom