Ajira za TISS hutangazwa wapi?

Ajira za TISS hutangazwa wapi?

Majeshi ya ulinzi na usalama hutangaza nafasi za kazi kama taasisi nyingine. Mathalani Jeshi la polisi, JWTZ, Kikosi cha zimamoto, Uhamiaji, etc wamekua na kawaida ya kutangaza nafasi za mafunzo na hata ajira. Lakini sijawahi kuona tangazo la kazi kutoka TISS (Tanzania Intelligence Security Services) Wana utaratibu gani katika kutoa ajira?

Kutokana na unyeti, Huwa hawatangazi ila wanakuchagua wenyewe. How? hiyo ni siri ya kambi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom