Acha Dhambi
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 145
- 41
kama unasubiri kazi ya serikali za aina yeyote ile kama ualimu kilimo na afya tafuta altenative mapema kwani serikali hiko hoi taarifa zaidi soma mwanahalisi la j5 wiki hii mi nimeanza wewe je?
hakuna msomi ambaye hana mikakati ndugu issue ni rasilimali fedha hakuna........tutashauriana million times ila tutakwama kwenye fedha..........ushauri serikali itoe mikataba ya muda mfupi ndani ya miaka miwili unapiga chini aje mwingine kubunya.......hii kwa mawazo yangu itasaidia hata vihande kusoma kwa kujiamini.......Tunze kufikiri upya juu ya kujiajiri badala ya kuajiriwa, kupitia jukwaa hili tunaweza ku share namna ya kuanzisha mikakati na tukajiajiri, let us start now before it is too late with all these economic opportunities