Ajira za Sensa: Matapeli kazini

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,537
32,144
Hizi Ajira za Sensa ambazo sifa Ni nyepesi Sana. Hivyo waombaji watakua wengi itakayopelekea kuongeza ushindani. Tutarajie matapeli kuiltambaa na beat ili kuwapiga hao "makarani tarajali"

1. Tapeli anatumia Gmail.
2. Mchango @35,000 (malazi na chakula).
3. Picha je?

IMG-20220516-WA0032.jpg
 
Kwa hiyo Ngumbaru tutulie sio?
Mtego upo hapa:
1. Wamesema kuanzia elimu ya kidato cha nne, lakini wameweka mahali uchague elimu yako ni ipi, wakianzia ya chuo kikuu na kushuka hadi kidato cha nne

2. Wamesema ni kwa aliyeajiriwa na serikali, au binafsi au asiye na ajira (maana yake yeyote), lakini kuna mahali unatakiwa ujaze hali yako ya ajira, na kwa walioajiriwa unajaziwa na mwajiri sehemu yake

Mchujo upo, tena kwa software ni just kufanya sorting dakika moja tu wanabaki wanaodhaminika serikalini na wenye elimu kuanzia juu kushuka chini. Ni maoni yangu lakini, sina chanzo chochote
 
Wenyeviti wa CCM wilaya, wanawaambia vijana Kuna nafasi zimetengwa kwa wanachama wa CCM kwa hiyo ukikamilisha maombi nakala Moja unampelekea ukiambatanisha na 10,000. Jana mmoja alikuwa analewa pombe, kiti moto na mrembo pembeni. Huku muamala ukiendelea kusoma.
 
Mtego upo hapa:
1. Wamesema kuanzia elimu ya kidato cha nne, lakini wameweka mahali uchague elimu yako ni ipi, wakianzia ya chuo kikuu na kushuka hadi kidato cha nne

2. Wamesema ni kwa aliyeajiriwa na serikali, au binafsi au asiye na ajira (maana yake yeyote), lakini kuna mahali unatakiwa ujaze hali yako ya ajira, na kwa walioajiriwa unajaziwa na mwajiri sehemu yake

Mchujo upo, tena kwa software ni just kufanya sorting dakika moja tu wanabaki wanaodhaminika serikalini na wenye elimu kuanzia juu kushuka chini. Ni maoni yangu lakini, sina chanzo chochote
Patamu hapo
 
Wenyeviti wa CCM wilaya, wanawaambia vijana Kuna nafasi zimetengwa kwa wanachama wa CCM kwa hiyo ukikamilisha maombi nakala Moja unampelekea ukiambatanisha na 10,000. Jana mmoja alikuwa analewa pombe, kiti moto na mrembo pembeni. Huku muamala ukiendelea kusoma.
Afisa analewaaaa...
 
Mtego upo hapa:
1. Wamesema kuanzia elimu ya kidato cha nne, lakini wameweka mahali uchague elimu yako ni ipi, wakianzia ya chuo kikuu na kushuka hadi kidato cha nne

2. Wamesema ni kwa aliyeajiriwa na serikali, au binafsi au asiye na ajira (maana yake yeyote), lakini kuna mahali unatakiwa ujaze hali yako ya ajira, na kwa walioajiriwa unajaziwa na mwajiri sehemu yake

Mchujo upo, tena kwa software ni just kufanya sorting dakika moja tu wanabaki wanaodhaminika serikalini na wenye elimu kuanzia juu kushuka chini. Ni maoni yangu lakini, sina chanzo chochote
Kuna watu watatemwa na mfumo ila wataingizwa unajua kwa nini ?

Team ya wajumbe lazima waweke watu wao
 
Hizi Ajira za Sensa ambazo sifa Ni nyepesi Sana. Hivyo waombaji watakua wengi itakayopelekea kuongeza ushindani. Tutarajie matapeli kuiltambaa na beat ili kuwapiga hao "makarani tarajali"

1. Tapeli anatumia Gmail.
2. Mchango @35,000 (malazi na chakula).
3. Picha je?

View attachment 2230183
Hawa jamaa wamezidi sasa hadi kero. Kwenye uchaguzi wa wabunge na rais walikuwepo na kitangazo chao, kwenye Corona wakawepo, uandikishaji wa nyumba na makazi kama kawa, wakaja na wanahitaji watu wa kukusanya ushuru kwenye majiji, sasa hivi hiyo sensa na kazi yao ni kuchonga tu mihuri na kufungua email mpya za gmail hii ni too much
 
Hawa jamaa wamezidi sasa hadi kero. Kwenye uchaguzi wa wabunge na rais walikuwepo na kitangazo chao, kwenye Corona wakawepo, uandikishaji wa nyumba na makazi kama kawa, wakaja na wanahitaji watu wa kukusanya ushuru kwenye majiji, sasa hivi hiyo sensa na kazi yao ni kuchonga tu mihuri na kufungua email mpya za gmail hii ni too much
Hivi wanashindwa kuwakamata kweli ?
 
Wenyeviti wa CCM wilaya, wanawaambia vijana Kuna nafasi zimetengwa kwa wanachama wa CCM kwa hiyo ukikamilisha maombi nakala Moja unampelekea ukiambatanisha na 10,000. Jana mmoja alikuwa analewa pombe, kiti moto na mrembo pembeni. Huku muamala ukiendelea kusoma.
Hapa Kuna mazuzu ya chama yatakuamini Kama imani ya dini. Halafu yataanza kusambaza hii stori mitaani kwa uhakika kabisa
 
Back
Top Bottom