Ajira Utumishi - Recruitment portal

Ajira Utumishi - Recruitment portal

Kwahyo wote wanaoandikiwa 1st interview wataitwa? Mmh me mbna zote nlizoapply nmeandikiwa 1st interview na nyngne nliapply kujaribu tuu sina hata qualifications ila meandikiwa 1st interview...Is it kweli hilo neno linarefer kuitwa kwa interview?

Kuku wa kienyeji hapa lazima utakamatika..mtu hana cheti kama std 7 kaitwa kwenye usaili wa principal accountant??
 
Nimetuma tangu tarehe 11/04/2015 kuku wa kienyeji

anza kuhesabia tarehe ya deadline sio hile uliyotuma. Atleast mwezi mmoja na wik kama 2, ndo utizame.

Huu mchakato umepunguza siku, kawaida huwa after 2 months and 1 Week

Tuwapongeze kidogo kwenye hili ajira.go.tz
 
Kuku wa kienyeji hapa lazima utakamatika..mtu hana cheti kama std 7 kaitwa kwenye usaili wa principal accountant??

Hakuna kitu kama hiko. Hao wanaonipinga najua ni chadema na ACT.

Jamani nishawishini kugombea,
Mimi wenu,
Kuku wa kienyenji
 
Kwahyo wote wanaoandikiwa 1st interview wataitwa? Mmh me mbna zote nlizoapply nmeandikiwa 1st interview na nyngne nliapply kujaribu tuu sina hata qualifications ila meandikiwa 1st interview...Is it kweli hilo neno linarefer kuitwa kwa interview?

Ki-pschology nimeshakupima, unachouliza hata wewe unajishangaa

Sasa kama huna qualification na uli apply na umeona neno interview. Mbona unauliza tena "is it kweli..."

We si bure hutakuwa cdm, na nimeshamwambia mtu hapo kuwa kama wewe ni cdm niambie mapema nijue napambana vipi na wewe.
 
Alaf pale ID NUMBER mie wameandika 10 wanamanisha nin pale?nijuze kuku wa kienyeji plz
 
Wadau naombeni kuuliza kwamba katika kuattach certificate pale lazima viwe vime certified au unaweza scan vyet in coured na kuziattach?
 
Nenda kwenye tovuti ya Ajira ktk utumishi wa umma, then download PDF ambayo Itakuelekeza kila kitu.
 
kuwa certified sio lazma...we scan then attach kama una vigezo utaitwa kwa intview...m nlituma copy bila kucertify nkaitwa kwa intvw and now npo kazn kupitia utumish
 
af jaman mbona baadhi ya vyuo havipo especially chuo mipango (IRDP DODOMA) na course zake....?!!
msaada tafadhar maana imekua shida kujisajil....
 
kuwa certified sio lazma...we scan then attach kama una vigezo utaitwa kwa intview...m nlituma copy bila kucertify nkaitwa kwa intvw and now npo kazn kupitia utumish

asante mkuu nimemaliza wacwac
 
Hii kitu nilikuwa sijajua sasa nutaenda huko sasa hivi!
 
asante mkuu kwa kutelimisha mimi nililisiti form 4 sikupata crediti ila ninavyeti 2 vya resiti ndivyo vinacredit kwa hiyo ninavyeti 3 sasa nitajaza cheti kipi? form qualifications
 
mimi form nililisit ninavyeti 3 nilipohitimu sikupata credit ila nilipata nilipolisi mara 2 ndo nkapata crediti ye niattach cheti kipi?
 
Hembu edit basi ndugu.

mkuu form 4 sikubata credit nikaresete nikapata credit 1 nikaresete mara y 2 nikapata credit 2 .Hivyo ninavyeti 3 vya form 4 ninahofu nikiweka nilichomalizia nitaonekana sikuwa na credit? wakati ninacredit kwenye vyeti nilivyolisiti.nasioni kama kuna options ya kuweka cheti zaidi ya kimoja
 
Naomba kuuliza wana JF wakikuandikia First interview wanatakupigia simu au watakutumia email kukuita kwenye interview?na inachukua mda gan baada ya kuandikiwa first interview kukuita?kwa wenye uzoefu na hili msaada tafadhali.
 
Back
Top Bottom