Ajira Utumishi - Recruitment portal

Ajira Utumishi - Recruitment portal

Hata me inanzngua, ndio kwanza iko 44%,alafu kitu kingine wakati naandika e-mail yangu kujiregister ikatokea pale yenyewe,asa najiuliza imekuaje inanifahamu?


:heh: hapana, hiyo ni capability ya browser yako maana umekuwa ukitumia hiyo email mara kwa mara, browser huwa zina uwezo wa kuwa na kumbukumbu(cache)
 
Nimejaribu ila sijaelewa kitu, wapi nina upload vyeti vya secondary? Ngoma imegota 54% na sehemu zote muhimu nimejaza kuku wa kienyeji msaada tutani
 
Last edited by a moderator:
blessed lenny naomba msaada, nimejaza kila mandatory field na field nyingine zote. Nadhani kwenye vyeti ndio nimebugi, kwani nime upload vitu viwili University Certificate na Application letter tu. Na mzigo umefika 54%, inakataa ku-priview wala ku-apply. Sijui nakosea wapi. Duh tehama majanga kwa Mimi Kayumba.
 
Last edited by a moderator:
Msaada nimejaza sehemu zote ila inaishia 54% nimekosea wapi? Nime-upload barua ya kuomba kazi na cheti cha chuo, vyeti vingine na CV na-upload wapi? Nawezaje kufikisha 70%? Msaada waungwanga. Nimedata, kweli tehama ni kazi kwa mimi kayumba
 
Samahani, mimi sijaona sehemu ya kuweka application letter baada ya kufungua account na kuweka CV, ukienda kwenye kazi unaona sehemu ya ku tick tuu ndo umeshatuma maombi na hakuna cha application letter je ndivyo ilivyo au mwenyewe nachemsha?
 
kuwa certified sio lazma...we scan then attach kama una vigezo utaitwa kwa intview...m nlituma copy bila kucertify nkaitwa kwa intvw and now npo kazn kupitia utumish

Braza mbona reqiutment portal system, imeanza mwaka huu, mwenzi wa march?????
 
Msaada plzz mbona kipengele cha training na work experience najaza zote nikitaka kusave haijisave nifanyeje? Ama nakosea nini? Maana mpka sasa nina 49% tu sijui hizo sabini naFikisha je?

Hakikisha umeja vzur sehemu zote muhimu, kwa maelezo zaid soma manual yao huku ukiwa unajaza.....!, hakikisha pia attachment zote muhimu umeupload...

uwezi hamin mm pia, mara yakwanza nilipata shida nikarudia taratibu huku nikifuta mwongozo, ikaja kusoma 95%
 
blessed lenny naomba msaada, nimejaza kila mandatory field na field nyingine zote. Nadhani kwenye vyeti ndio nimebugi, kwani nime upload vitu viwili University Certificate na Application letter tu. Na mzigo umefika 54%, inakataa ku-priview wala ku-apply. Sijui nakosea wapi. Duh tehama majanga kwa Mimi Kayumba.


  • Hakikisha umeja vzur sehemu zote muhimu, kwa maelezo zaid soma manual yao huku ukiwa unajaza.....!, hakikisha pia attachment zote muhimu umeupload...

    uwezi hamin mm pia, mara yakwanza nilipata shida nikarudia taratibu huku nikifuta mwongozo, ikaja kusoma 95%, na nimemaliza chuo mwaka jana, sijafanya kazi sehemu nying....​



 
Bila shaka jibu lako ni ndio. Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ??

Ingia kwenye akaunti yako, click My applications...Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari...Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview -HONGERA SANA[/QUOTE]
nashukuru sana kaka, umenitoa tongo, MUNGU akubarik
 
Nimejaribu ila sijaelewa kitu, wapi nina upload vyeti vya secondary? Ngoma imegota 54% na sehemu zote muhimu nimejaza kuku wa kienyeji msaada tutani

nenda academic>>add new>> jaza details zako pale then kuna mahala attach your certificate ndo penyewe hapo.

wiki jiwe tairi la nyuma, isije gari likarudi nyuma.

Naombeni munishawishi kugombea
 
Last edited by a moderator:
Samahani, mimi sijaona sehemu ya kuweka application letter baada ya kufungua account na kuweka CV, ukienda kwenye kazi unaona sehemu ya ku tick tuu ndo umeshatuma maombi na hakuna cha application letter je ndivyo ilivyo au mwenyewe nachemsha?

nenda kwenye "Other attachment" Huko ndo utaeka Cv yako, birth certificate, application letter
 
Bila shaka jibu lako ni ndio. Nataka nikufundishe kidogo utawezaje kujua kama utaitwa kwenye inteview kabla hata majina hayajatoka. Je una kiu hiyo ya kutaka kujua ??

Ingia kwenye akaunti yako, click My applications...Zitakuja positions ambazo umesha-apply tayari...Angalia kuna mahala pameandikwa Application Status -Kama umebahatika, utakutana na neno First Interview -HONGERA SANA
nashukuru sana kaka, umenitoa tongo, MUNGU akubarik[/QUOTE]


Mungu ameshatubaliki wote.

Ila usisahau kunishawishi kugombea
 
kivipi mkuu fafanua kidogo.ukiweke kwenye file moja wakati w kuattach huwezi attach file zima ila linafunguka alafu linakupa options y kuchagua cheti kimoja
 
Samahni kiongoz, msaada kwenye tua; endapo ushafanya application kwa kutumia requitment portal, ukaitaji kufanya tena application kwa nafasi zingine zilizotangazwa....
swali unaupload covering leter nyingne inayohusu maombi husika au unafanyaje kwa sbbu ukienda kwenye option ya other attachment ambako ndiko unatakiwa kufanya attachment ya covering leter unakuta barua uliyoattach ya zaman...

nisaidie kaka, sorry
 

  • Habar za wakati kama huu wanajamii forum

    Samahni wajumbe, msaada kwenye tuta; endapo ushafanya application kwa kutumia recruitment portal, ukaitaji kufanya tena application kwa nafasi zingine zilizotangazwa....
    swali unaupload covering leter nyingne inayohusu maombi husika au unafanyaje kwa sbbu ukienda kwenye option ya other attachments ambako ndiko unatakiwa kufanya attachment ya covering leter unakuta barua uliyoattach ya zaman...

    pili, inakuwaje kama nafasi zimetoka unaitaji kuapply nafasi mbili au zaid kwa wakati mmoja, katika kipengele cha ather attchment ambako tunaupload covering letter, zaid ya moja au tunafanyaje?

    vile vile kwa upande pia wa cv, kuna baadhi ya kazi zingene zinazotangazwa kwa wakati mmoj inakulazimu, uediti baadhi ya contents ndani ya cv, je pia tunaweza kuapload zaid ya mmoja....

    Nashukuru sana.​



 
nadhan kwny hyo other attachment kuna sehem ina option ya kuview,kuedit na kudelete so kwa ivyo una uwezo wa kuedit na kuupload barua nyngne
 
Aisee swali langu halijibiwi.msaada ninavyeti 3 form4 je na attach vipi na vyote vina credit.
 
Back
Top Bottom