Mwanza sales
Senior Member
- Nov 17, 2015
- 193
- 87
Kwa wenye vigezo zingatieni masharti
Tuendelee kupigania ndoto zetu tuWatanzania watafika mbinguni wamechoka sana maana wanapelekwa kasi kweli. Kuna siku utumishi italiliwa kwa machozi na damu
Wanavyofanya NSSF ni ubaguzi wa wazi kwani wanawanyima fursa watanzania fursa ya kuajiriwa kwa kigezo cha kujitolea kwao ilihali hizo nafasi za kujitolea pia kama huna connection huzipati, bora mchakato ulivyokuwa PSRSWatanzania watafika mbinguni wamechoka sana maana wanapelekwa kasi kweli. Kuna siku utumishi italiliwa kwa machozi na damu
mkuu hivi unafikiri jobless atawafanya nn ccm ??Hii haipo sawa serikali iangalie vinginevyo 2025 kitaeleweka
Mala ya mwisho ajira za nssf kupitia psrs ni mwaka gani?Wanavyofanya NSSF ni ubaguzi wa wazi kwani wanawanyima fursa watanzania fursa ya kuajiriwa kwa kigezo cha kujitolea kwao ilihali hizo nafasi za kujitolea pia kama huna connection huzipati, bora mchakato ulivyokuwa PSRS
Hawajawahi pitisha PSRSMala ya mwisho ajira za nssf kupitia psrs ni mwaka gani?
Muda mrefu hawajaajiri lkn kwa mujibu wa sheria walitakiwa wapitishe mchakato wao PSRS, wametumia fursa ya agizo la Mheshimiwa raisi kupitisha huu utupolo wao.Mala ya mwisho ajira za nssf kupitia psrs ni mwaka gani?
Hakika, hii haiwahusu nje ya shirika, ni eale tu ambao wana mikataba ya Muda ndio watakao omba na sio vinginevyoSorry inamaana ndani ya shirika ..?
Kwa bahati mbaya jeuri ya kufanya kieleweke sisi kama wadanganyika, hatuna tutapelekwa pelekwa kama manyani na chakuwafanya hao majambazi hatuna.😭😭😭 Kiufupi sisi ni watumwa kama watumwa wengine 😭😭😭Hii haipo sawa serikali iangalie vinginevyo 2025 kitaeleweka
Dr. Dau mbona hayumo miaka mingi sasa humor analaumikaje hapaNssf ni ya dini ya mnyaazi
Aliwajaza ramadhan dau kwa mikataba mifupi,saivi ndo wanataka kuwapa ajira za kudumu