JOSEPH MALULU
Member
- Jan 2, 2014
- 77
- 9
Jamani ndugu zangu mnisadie niko kijijini . Je kuna tetesi ya ajira ya walimu.
Pole sana tafuta shuhuli ya kufanya serikali ndio hiyo tena
Novemba na Desemba 2013 wafanyakazi hwakulipwa salaries zao. very baadmwezi wa 8 mwakani mwaka huu serikali haina pesa.
Novemba na Desemba 2013 wafanyakazi hwakulipwa salaries zao. very baad
Really??
Jamani ndugu zangu mnisadie niko kijijini . Je kuna tetesi ya ajira ya walimu.
ipo wazi karibia miaka yote ajira huwa zinztoka mwezi wa pili na kuripot huwa n mwezi wa tatu mwanzoni. so kuwa mvumilivu