Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,416
- 6,577
Kwa sasa sisi kama serikali hatuna pesa,pesa tumeelekeza katika kuboresha daftrai la mpiga kura,kura ya maoini, uchguzi mkuu.Nyie tutawajili 2016 mwezi wa 7.Ukipata taarifa hii mjulishe na mwenzako,sisi kama serikali hatutaki usumbufu kwasasa,hata vijana wenzenu wa JKT tumeshawaambia.
asante mama salma