Yaaah mzee science ila g. P. A ya kinyonge sana, kwahiyo wanasanaa majina yao yatakatwa na wajumbe wa tamisemi. Science tupite bila KUPINGWAAAAHapo haina haja ya GPA, izo nyingi sana. Kama ulipass na GPA nzuri na ulisoma Masomo ya Science we andaa matumizi mshahara unakuja.
Huku kwenyewe kwenye utumishi mishahara duni, hapo hapo bado fitina za maofisini, majungu, ulozi hadi wengine wanajuta kuingia huko. Anyway, ni kupambana tu..
Kwa iyo unashangilia wenzako wa Sanaa wakikatwa ili nyie wa science mpite..vip na nyie mkikatwa?Yaaah mzee science ila g. P. A ya kinyonge sana, kwahiyo wanasanaa majina yao yatakatwa na wajumbe wa tamisemi. Science tupite bila KUPINGWAAAA
Pole sana madame..wakajiajiri sasaMy two sons, one with maths holder of two degrees and another with diploma, all are teachers and are jobless since wamalize vyuo.
Ngoja nione wasipopata ajira nitajua hilo tangazo ni uongo.
I'll back. Nina hasira so I speak English.
Mwanamke kila nikikuona nakumbuka kile kisa chako cha kuliwa kimasihara. Halafu najikuta natamani ningekuwa mimi hahahaMy two sons, one with maths holder of two degrees and another with diploma, all are teachers and are jobless since wamalize vyuo.
Ngoja nione wasipopata ajira nitajua hilo tangazo ni uongo.
I'll back. Nina hasira so I speak English.
Ila ukumbuke kuna shule za Private ambazo zina chukua waalimu wengi karibia kuliko wa Serikali hivyo ajira sio Serikalini peke yakeWaalimu tarajali tumuombe Sana MUNGU aseeeh mtaani tuko zaidi ya 80,000 kwa hizi ajira 13,000 sisi watoto wa AFRICAN POOR PEASANT tusio na connection MUNGU atusaidie aseeeh siyo kwa competition hii. MUNGU SIMAMA NASI
Wewe kafanye application acha siasa hizo utajicheleweshaWaalimu tarajali tumuombe Sana MUNGU aseeeh mtaani tuko zaidi ya 80,000 kwa hizi ajira 13,000 sisi watoto wa AFRICAN POOR PEASANT tusio na connection MUNGU atusaidie aseeeh siyo kwa competition hii. MUNGU SIMAMA NASI
Endelea kusifia juhudi tu, utajua hujui muda si mrefu.My two sons, one with maths holder of two degrees and another with diploma, all are teachers and are jobless since wamalize vyuo.
Ngoja nione wasipopata ajira nitajua hilo tangazo ni uongo.
I'll back. Nina hasira so I speak English.
Daaaaaah
hizi siasaaa kweli aseeeh Kumbe tuko zaidi ya laki mbili hii kitaalamu inaitwa gombania goli 😁
Hakuna ajira bosi ni siasa tuuuu!!!jiulize why now???Waalimu tarajali tumuombe Sana MUNGU aseeeh mtaani tuko zaidi ya 80,000 kwa hizi ajira 13,000 sisi watoto wa AFRICAN POOR PEASANT tusio na connection MUNGU atusaidie aseeeh siyo kwa competition hii. MUNGU SIMAMA NASI