Political...! Political....! Political...! Everywhere is political...! Now adays, political is everything...! Let us wait because walishasema kwamba ajira mpya za ualimu zitatoka mwezi JANUARY. Kwa hiyo ndugu wapendwa ajira mpya zinatoka kesho......! Siyo maneno yangu but huu ndiyo ukweli wa serikali yetu...! Huwa hawajui kusema uongo, na hata katika hili basi wametutendea haki kwa kutuambia ukweli kwamba ajira mpya zinatoka mwezi january.....!