Patflax jr
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 1
Wapendwa naomba kujuzwa na wale wenye ufaham juu ya ajira kwa waalimu wa STASHAHADA na wale wa ngazi ya CHETI kuwa ajira zao zinatoka lini? coz tumekaa sana mtaani kuanzia mwez MAY hadi leo hakuna hata dalili ya kutumiwa POST ili twende kulikomboa taifa toka kwenye lindi la UJINGA.
Nawasilisha.
Nawasilisha.