Ajira kwa wakalimani

Ajira kwa wakalimani

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,068
ivi wadau ajira zake zina mashiko hapa tanzania. nataka kuwa mkaliman nimeapply course moja ya language chuo flan hapa bongo. mnanishauri vip ndugu zanguni.
nisome au nipiotezee kama ntaipata napenda sana french
 
ivi wadau ajira zake zina mashiko hapa tanzania. nataka kuwa mkaliman nimeapply course moja ya language chuo flan hapa bongo. mnanishauri vip ndugu zanguni.
nisome au nipiotezee kama ntaipata napenda sana french


Some mzee sema ufanye lugha nyingi kidogo...
Ajira huwa haziishi hata siku inabidi uwe very competent kwenye dunia hii ya upendeleo....
Kuna mdogo wangu anafanya kazi kwenye mahakama moja ya kimataifa anatafsiri lugha ya kifaransa kwenda English....
Mshahara mzuri sana...
 
We koma asa french itakutoa sana c umesikia vyuo vya uwalimu wameanza kuwafundisha kichain kwa sababu ni nch ya biashala jitaid utapata ajira nzur mana ni watu wachach wanao isoma language
 
Back
Top Bottom