Ajira kutolewa mwakani

Ajira kutolewa mwakani

DR Mambo Jambo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2012
Posts
13,002
Reaction score
29,452
Kwa tetesi za chinichini ambazo nimezisikia kutoka katika watu naowaamini kutoka wizarani (sitaweza kuwataja kulinda heshima na hadhi zao) ..wamesema kwamba kwa mwaka huu uwezekano wa serikali kuajiri wananchi au wahitimu na ma Intern ni swala gumu na jepesi na akanihakikishia kwamba.

Kama swala hilo halitatekelezwa mwishoni mwa mwezi wa kumi na mwezi wa kumi na moja basi mwezi wa kumi na mbili hawataweza kuajiri na akaniambia kuwa kuna uwezekano ajira zikatoka mwakani mwezi wa sita au wa saba.

Kwayoyote mwenye taarifa na hzi habari naomba atutoe tongotongo wana JF tupate ukweli zaidi maana hili swala linatatanisha kwa wenzangu ambao hawana ajira mimi nna marafiki zangu wengi sana ambao hawana ajira naona wanavoteseka

Katiba inaruhusu kusema chchote tukionacho
1477059369614.jpg
pia kila mtu ana haki ya kupata kazi kulingana na katiba
1477059399289.jpg
1477059413174.jpg
 
Mi siwezi kushangaa hata wakitoa tamko kwamba hawatoa kabisa hizo ajira japo nami ni mhanga wa hilo lakini dalili zimeshaonekana kabisa hakuna ajira lakini zitakuwepo kwa baadaye za mafungu mafungu ili kuonesha kwamba wametoa
 
Mi siwezi kushangaa hata wakitoa tamko kwamba hawatoa kabisa hizo ajira japo nami ni mhanga wa hilo lakini dalili zimeshaonekana kabisa hakuna ajira lakini zitakuwepo kwa baadaye za mafungu mafungu ili kuonesha kwamba wametoa
hahahhahahha hya bna pole saana
 
HIYO HABARI HATA MIMI NIMEISIKIA KWA BROO MMOJA MTAANI,ANASEMA HUENDA IKAWA JANUARY AU JULY.

JANUARY NI NUSU YA MWAKA WA SERIKALI NA JULY NDIYO MWISHO WA MWAKA.

NA MTAANI KULIVYO KUGUMU YANI HATA KAZI ZA MUHINDI HAZIPATIKANI.
 
Hata wakisema watatoa mwaka 2020 tutasubiri tu maana hamna namna wacha tusome namba tu tumeipenda wenyewe.
 
Back
Top Bottom