Ajira Jeshi la polisi

Nipo dodoma tena jiran kabisa na Makao makuu ya jeshi la polisi lakin mtandao unasumbua sana kama sehem zingine
He tena 😅🙌 sasa kama wew ni jirani na mtandao unasumbua sisi watu kutoka mataiga ya bukoba tusemeje😅😳😅
 
Watutafutie njia nyengine t kama Ile ya zamani ya kutuma kwenye email hii ya system inasumbiwa sana
 
Mkuu

Asante kwa mrejesho. Japo mimi kuna ndugu yangu alienda akafanikiwa anasema mtandao kidogo una afadhali.

Nikafikiri labda bado kwa upande huo patakuwa na nafuu ( Ahsante kwa taarifa)
Sawa mkuu
 
Ivi kozi inakua mudq gani kwa mwenye idea maana ngoma ishakua mchanganyo wa mada ⚡⚡⚡
 
Muhmu kujua tunapambania nn mkuu sio tunapply tuu alaf tunabet maisha yanaenda kas wakat aumsubil mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…