M moshi mkuu Member Joined May 14, 2024 Posts 36 Reaction score 26 May 15, 2024 #61 Mtu Mbadi said: Nipo dodoma tena jiran kabisa na Makao makuu ya jeshi la polisi lakin mtandao unasumbua sana kama sehem zingine Click to expand... He tena 😅🙌 sasa kama wew ni jirani na mtandao unasumbua sisi watu kutoka mataiga ya bukoba tusemeje😅😳😅
Mtu Mbadi said: Nipo dodoma tena jiran kabisa na Makao makuu ya jeshi la polisi lakin mtandao unasumbua sana kama sehem zingine Click to expand... He tena 😅🙌 sasa kama wew ni jirani na mtandao unasumbua sisi watu kutoka mataiga ya bukoba tusemeje😅😳😅
M moshi mkuu Member Joined May 14, 2024 Posts 36 Reaction score 26 May 15, 2024 #62 Poor Brain said: Haya mambo yanafanyika online tu.. sio manual.... Unaposema dodoma watu huku wanafanya manual ndo nashangaa Click to expand... Ni sahihi lakini ndio mtandao hautaki ko tukajua labda mna hiyo chance kwakuwa mpo karbu na hapo
Poor Brain said: Haya mambo yanafanyika online tu.. sio manual.... Unaposema dodoma watu huku wanafanya manual ndo nashangaa Click to expand... Ni sahihi lakini ndio mtandao hautaki ko tukajua labda mna hiyo chance kwakuwa mpo karbu na hapo
R Ramson97 JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 221 Reaction score 152 May 15, 2024 #63 Hii ishu ya mtandao sijui suluhisho ni nini?
A Albinoomweusi JF-Expert Member Joined Oct 28, 2016 Posts 3,482 Reaction score 8,657 May 15, 2024 #64 passion_amo1 said: Mkuu Kwanini usiende Dodoma moja kwa moja. Click to expand... Akienda dodoma ndio hajazi mtandaoni?
passion_amo1 said: Mkuu Kwanini usiende Dodoma moja kwa moja. Click to expand... Akienda dodoma ndio hajazi mtandaoni?
R Ramson97 JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 221 Reaction score 152 May 15, 2024 #65 Albinoomweusi said: Akienda dodoma ndio hajazi mtandaoni? Click to expand... Kaka kwako imekubali?
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,494 Reaction score 55,141 May 15, 2024 #66 moshi mkuu said: Ni sahihi lakini ndio mtandao hautaki ko tukajua labda mna hiyo chance kwakuwa mpo karbu na hapo Click to expand... Sijaona hiyo mkuu
moshi mkuu said: Ni sahihi lakini ndio mtandao hautaki ko tukajua labda mna hiyo chance kwakuwa mpo karbu na hapo Click to expand... Sijaona hiyo mkuu
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,494 Reaction score 55,141 May 15, 2024 #67 Ramson97 said: Hii ishu ya mtandao sijui suluhisho ni nini? Click to expand... Licha ya mtandao page yao ipo to slow.... Maybe wataongeza mda
Ramson97 said: Hii ishu ya mtandao sijui suluhisho ni nini? Click to expand... Licha ya mtandao page yao ipo to slow.... Maybe wataongeza mda
passion_amo1 JF-Expert Member Joined Dec 3, 2023 Posts 1,828 Reaction score 3,932 May 15, 2024 #68 Poor Brain said: Dodoma huku... Hamna kitu ka hicho Click to expand... Mkuu Asante kwa mrejesho. Japo mimi kuna ndugu yangu alienda akafanikiwa anasema mtandao kidogo una afadhali. Nikafikiri labda bado kwa upande huo patakuwa na nafuu ( Ahsante kwa taarifa)
Poor Brain said: Dodoma huku... Hamna kitu ka hicho Click to expand... Mkuu Asante kwa mrejesho. Japo mimi kuna ndugu yangu alienda akafanikiwa anasema mtandao kidogo una afadhali. Nikafikiri labda bado kwa upande huo patakuwa na nafuu ( Ahsante kwa taarifa)
Raiya Mwema New Member Joined Jan 17, 2024 Posts 1 Reaction score 0 May 15, 2024 #69 Watutafutie njia nyengine t kama Ile ya zamani ya kutuma kwenye email hii ya system inasumbiwa sana
M moshi mkuu Member Joined May 14, 2024 Posts 36 Reaction score 26 May 15, 2024 #70 Raiya Mwema said: Watutafutie njia nyengine t kama Ile ya zamani ya kutuma kwenye email hii ya system inasumbiwa sana Click to expand... Shida mda unaenda na wapo kmy
Raiya Mwema said: Watutafutie njia nyengine t kama Ile ya zamani ya kutuma kwenye email hii ya system inasumbiwa sana Click to expand... Shida mda unaenda na wapo kmy
Mtu Mbadi JF-Expert Member Joined Feb 28, 2024 Posts 522 Reaction score 614 May 15, 2024 #71 moshi mkuu said: He tena sasa kama wew ni jirani na mtandao unasumbua sisi watu kutoka mataiga ya bukoba tusemeje Click to expand... Mtandao ni kote tu yani haijalishi upo wapi
moshi mkuu said: He tena sasa kama wew ni jirani na mtandao unasumbua sisi watu kutoka mataiga ya bukoba tusemeje Click to expand... Mtandao ni kote tu yani haijalishi upo wapi
Msakaa Jr JF-Expert Member Joined May 18, 2017 Posts 7,390 Reaction score 7,838 May 15, 2024 #72 moshi mkuu said: Mbn kwangu naon bado au umeskia vby maan mitaa hapa hamn kitu kbsa watu ad wanafika 100 wamekaa cafe moja wanasubir mtandao tu Vijana hadi hawali wanaona wakiondok wanawez pishan na mtandano na ikawa shida Click to expand... Ukisikia haikiombeki basi ndio hizi ajira za polisi Sent using Jamii Forums mobile app
moshi mkuu said: Mbn kwangu naon bado au umeskia vby maan mitaa hapa hamn kitu kbsa watu ad wanafika 100 wamekaa cafe moja wanasubir mtandao tu Vijana hadi hawali wanaona wakiondok wanawez pishan na mtandano na ikawa shida Click to expand... Ukisikia haikiombeki basi ndio hizi ajira za polisi Sent using Jamii Forums mobile app
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,494 Reaction score 55,141 May 15, 2024 #73 passion_amo1 said: Mkuu Asante kwa mrejesho. Japo mimi kuna ndugu yangu alienda akafanikiwa anasema mtandao kidogo una afadhali. Nikafikiri labda bado kwa upande huo patakuwa na nafuu ( Ahsante kwa taarifa) Click to expand... Sawa mkuu
passion_amo1 said: Mkuu Asante kwa mrejesho. Japo mimi kuna ndugu yangu alienda akafanikiwa anasema mtandao kidogo una afadhali. Nikafikiri labda bado kwa upande huo patakuwa na nafuu ( Ahsante kwa taarifa) Click to expand... Sawa mkuu
Kingpin76 Member Joined Feb 22, 2020 Posts 18 Reaction score 12 May 15, 2024 #74 Ivi kozi inakua mudq gani kwa mwenye idea maana ngoma ishakua mchanganyo wa mada ⚡⚡⚡
M moshi mkuu Member Joined May 14, 2024 Posts 36 Reaction score 26 May 15, 2024 #75 Kingpin76 said: Ivi kozi inakua mudq gani kwa mwenye idea maana ngoma ishakua mchanganyo wa mada ⚡⚡⚡ Click to expand... Hadi unapata nguvu ya kuuliza hivi kwamba wewe tyr umeshafanikiwa kuapply sio😳
Kingpin76 said: Ivi kozi inakua mudq gani kwa mwenye idea maana ngoma ishakua mchanganyo wa mada ⚡⚡⚡ Click to expand... Hadi unapata nguvu ya kuuliza hivi kwamba wewe tyr umeshafanikiwa kuapply sio😳
Kingpin76 Member Joined Feb 22, 2020 Posts 18 Reaction score 12 May 15, 2024 #76 moshi mkuu said: Hadi unapata nguvu ya kuuliza hivi kwamba wewe tyr Click to expand...
Kingpin76 Member Joined Feb 22, 2020 Posts 18 Reaction score 12 May 15, 2024 #77 Muhmu kujua tunapambania nn mkuu sio tunapply tuu alaf tunabet maisha yanaenda kas wakat aumsubil mtu
Muhmu kujua tunapambania nn mkuu sio tunapply tuu alaf tunabet maisha yanaenda kas wakat aumsubil mtu
M moshi mkuu Member Joined May 14, 2024 Posts 36 Reaction score 26 May 15, 2024 #78 Kingpin76 said: Muhmu kujua tunapambania nn mkuu sio tunapply tuu alaf tunabet maisha yanaenda kas wakat aumsubil mtu Click to expand... Huwa ni mwaka au miez tisa
Kingpin76 said: Muhmu kujua tunapambania nn mkuu sio tunapply tuu alaf tunabet maisha yanaenda kas wakat aumsubil mtu Click to expand... Huwa ni mwaka au miez tisa
Kingpin76 Member Joined Feb 22, 2020 Posts 18 Reaction score 12 May 15, 2024 #79 moshi mkuu said: Huwa ni mwaka au miez tisa Click to expand... Kwel io bye bye mtaa kumbe ni kupotea
M moshi mkuu Member Joined May 14, 2024 Posts 36 Reaction score 26 May 15, 2024 #80 Kingpin76 said: Kwel io bye bye mtaa kumbe ni kupotea Click to expand... Ndio huwa hvy mkuu vp umekamilisha nini au unaconection😅
Kingpin76 said: Kwel io bye bye mtaa kumbe ni kupotea Click to expand... Ndio huwa hvy mkuu vp umekamilisha nini au unaconection😅