mafimboo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 2,415
- 978
elimu ya tanzania inawafanya wanafunzi waogope maisha ya nje na elimu kwasababu mfumo wa elimu sio huru ni wa kikoloni unawafanya watu iwakisoma wajitenge na jamii ya asili na kujiona wanaufahari na kwamba wao ndio wamefaulu maisha ikitokea kafeli na huu mfumo wa elimu anachanganyikiwa wengine wanajiua kama huyu