Chanzo Kikubwa cha ajali ni sisi Wenyewe!! Unaweza Kuamua kumkomalia dereva ili apunguze Overtaking za kizembe ila raia (Wasafiri wengine) wanakuona kama zuzu au Mshamba au Unapenda sana kuishi!! Shida kubwa ni serekali kuwa na blabla nyingi!! Haijui hata inasimamia nini? Ukichukua Tathimini halisi unaweza kukuta ajali za Mabasi kwa mwaka husababisha vifo vya watu 700; Ila Usafiri wa pikipiki kwa kipindi Hichohicho utakuta wamekufa watu 1,400!! Huoni kwa hali hii ni kuwa serekali imepoteza mwelekeo na Haijui Inachosimamia!!!