kwanini uwezi kumsaidia?
Bodaboda ni reserved jeshi la uasi. One day makubwa yatatokea bongoland.
Wazee kama wewe ni hasara kwa taifa hili.Yani wakati wengine tunashukuru walau huku mitaani vijana wenzetu wanabangaiza kupitia hizi boda boda,wewe povu linakutoka eti ni jeshi la uasi.
Tusiwalaumu tu hawa bodaboda tutazame kwanini walifikia kuichoma moto hiyo gari.Je dereva huyo angekuwa anaendesha kwa mwendo wa kawaida hayo yangetokea?
Nimeona wengi tu humu povu likiwatoka na kulipa gari thamani kuliko roho za watu hawa wa3,v8 sidhani hata kama askari wetu wa barabarani huzisimamisha kuzifanyia ukaguzi hata wa matairi .Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni vijana hawa hawajafa katika ile staili tuloizoea ya wao kujichomeka ,dereva wa gari angekuwa kwenye mwendo wa kawaida ingesaidia.Watanzania pia tupunguze tabia ya kuchukua sheria mkononi.R.i.p bodaboda
Ni kweli Mkuu sijui niongealo, lakini hujajibu hoja yangu hata moja kiasi cha kuja na generalization,
Ajali imetokeaje? actually wote hatujui kati ya mzungu na hao madereva nani ana makosa....
Ukiiangalia picha kwa makini waliokuwepo pale si wote walikua bodaboda, na hata mleta mada amesema waliochoma gari ni WANANCHI,
Mzungu anaweza kua alikua ana makosa! unakataa? wonderful!...... amepiga risasi hewani amefaulisha mizigo yake kwenye gari nyingine akatembea anawaachia a black corpse kwa ajili ya mazishi.....
Katika Ignorant Society kama hii ya kwetu uamuzi wa haraka ilikua ni kupata mob satsfaction, nayo ni kuchoma gari hilo ......la bima ni geni kwa sisi masikini, na kwa sababu tunaamini hangechukuliwa hatua huyo mzungu then what could we do? na tunaliona gari la thamani Choma moto, hata Fergeson wanachoma moto the same!.....
Kwa hiyo Mkuu Hata kama wewe hupandi Bodaboda, wapo wanaopanda! wengi sana, hata mimi.....wapi bodaboda wapuuzi, wapo wastaarabu, tunaishi nao mtaani...
Wazee kama wewe ni hasara kwa taifa hili.Yani wakati wengine tunashukuru walau huku mitaani vijana wenzetu wanabangaiza kupitia hizi boda boda,wewe povu linakutoka eti ni jeshi la uasi.
Tusiwalaumu tu hawa bodaboda tutazame kwanini walifikia kuichoma moto hiyo gari.Je dereva huyo angekuwa anaendesha kwa mwendo wa kawaida hayo yangetokea?
Nimeona wengi tu humu povu likiwatoka na kulipa gari thamani kuliko roho za watu hawa wa3,v8 sidhani hata kama askari wetu wa barabarani huzisimamisha kuzifanyia ukaguzi hata wa matairi .Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni vijana hawa hawajafa katika ile staili tuloizoea ya wao kujichomeka ,dereva wa gari angekuwa kwenye mwendo wa kawaida ingesaidia.Watanzania pia tupunguze tabia ya kuchukua sheria mkononi.R.i.p bodaboda